Dotto Kajole Fimbo
Member
- Nov 16, 2016
- 30
- 52
Jitazame wewe mwenyewe una kipaji gani mfano ususi / mapishi then anzisha biashara kutokana na kipaji ulichonacho hii itakusaidia kupunguza changamoto ndogo ndogo zinazoweza kujitokeza kama vile usimamizi n.k