Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

Kwaanae ijua kampun ya kimalekan inaitwa FOREVER LIVING PRODUCT

inahusiana na usambazaji wa bizaa za aloe veLa we cha kufanya unaanza na mtaji wa tsh 400,000 unachukua bidhaa zao hapo utakuwa umejiunga moja kwa moja
Network marketing inakujaje apo pare unapo washirikisha watu wengine kuhusiana na hii biashara nao wakaamua kufanya bas kampuni itakulipa ivo ndio nilikuwa namaanisha
Kwahapa dar ofisi za kampuni zipo makumbusho pale
SO NIIVO YAANI JUST USHAULI..
AHSANTE
Okoa pesa yko na muda wako mkuu, hii issue ni kichefu chefu, nilijiungaga nao mwaka 2007, nikasota sana kupanda daraja mpk nikafika level ya u meneja, bt faida ni kama hakuna tuu zaidi ya kupoteza pesa na mda wako wa kuzunguka kama machinga kushawishi watu waingie ili upate 4cc. Fanya kingine lkn sio hii kitu.
 
Okoa pesa yko na muda wako mkuu, hii issue ni kichefu chefu, nilijiungaga nao mwaka 2007, nikasota sana kupanda daraja mpk nikafika level ya u meneja, bt faida ni kama hakuna tuu zaidi ya kupoteza pesa na mda wako wa kuzunguka kama machinga kushawishi watu waingie ili upate 4cc. Fanya kingine lkn sio hii kitu.
Ahsante sana mkuu, na Mimi hawa jamaa nawajua sana wala hata siwezi kujitumbukiza huko!!
 
Ahsante sana mkuu, na Mimi hawa jamaa nawajua sana wala hata siwezi kujitumbukiza huko!!
Kuna wenzao wanafanana nao
Wenyewe biashara yao ni ya vipodozi unaambiwa uza bidhaa ukifikisha Point 300 (yaani point mia mia kwa miezi 3 mfululizo) unapewa offer ya kununua bidhaa ya 100'000/- kwa sh 9'000/- tu
Mi nilishindwa kufikisha

Ila kuna sister mmoja tulikua nae alikomaa akafikisha hizo point zinazohitajika ndani ya muda uliopangwa, alivyoenda ku claim offer yake kaambiwa eti bidhaa zilikuja kwa idadi maalum eti kwa kua ni za offer zilisha isha.

Mdada wa watu povu lilimtoka utafikiri bomba la kiwanda cha Omo lime leake kwenye sabuni
Akapiga chini biashara siku hiyo hiyo...

Na mimi baadae nikaona huu ni utumbafu nikaachana nayo..

Siwezi shauri mtu hii kitu ya networking
Mdau hapo juu kasema when the deal is too good think twice
Akili kumkichwa..
 
Natumai mu wazima wapendwa, lengo la Uzi huu ni kuomba ushauri wa nini cha kufanya na kikalipa vizuri kwa mtaji wa shilingi milioni mbili, naomba tushauriane vizuri na kwa faida ya wengi, pia naomba ushauri kati ya mambo haya:-
#Je, ni bora kununua kiwanja kabla ya kuwekeza kwenye vimiradi vidogovidogo,

NB: kiwango cha hela nilichoweka kinaweza kikawa zaidi au chini ya hapo, tushauriane wapendwa.
tafuta kutoka hapo, kiambatanishi.
 

Attachments

  • LISTI YA FURSA ZA BIASHARA NA MIRADI (1).docx
    16.7 KB · Views: 146
Jana nilikuambia nitakushauri japo kidgo,,Ila labda nianze na vitu vya kuzingatia ili pesa yako isipotee bure...
(1) angalia mji au mtaa unaishi
(2)angalia muda wako wa kazi cku nzima unapata muda kias gan wa kusimamia unachotaka kukianzisha kama umeajiriwa
(3)mahitaji ya hapo au sehem unayotaka kufanya biashara ni yapi?
(4)kuna wingi wa watu kiasi gan?
(5)kuna usalama kias gani
(6)atakaekua anakusaidia kazi zako una mwamin kiasi gani
(7)umbali unapoishi na unapotaka kufanyia biashara
(8) matumiz yako kwa siku yapoje
(9) Je kwa nn unataka kufanya biashara,,je ni kwa ajili ya kupata faida tu au kuna kingine?(najua hii namba tisa itakuchanganya Ila ntakufafanulia ucjali)
(10) Una maono na unchotaka kufanya au lah?
Kwa nn nmekuandikia yte haya,unaweza dhan hayana muhimu ila ni nzur sana kujua lengo kuu ni lipi, million mbili ni hela nyingi sana,,sana sana Ila inaweza kupotea ndani ya mud mfup usipokua makin na unachotaka kufanya,na mwisho tambua mfanya biashara mzuri sio yule anaewaza atauza sana Bali ni yule anaejua watu wake wanataka nn zaid nae akawapelekea.... Na kubwa kuliko yte usimwache Mungu wako kila siku,,zingatia sana target na goals....Ntarud nazimua bia za jana
 
Jana nilikuambia nitakushauri japo kidgo,,Ila labda nianze na vitu vya kuzingatia ili pesa yako isipotee bure...
(1) angalia mji au mtaa unaishi
(2)angalia muda wako wa kazi cku nzima unapata muda kias gan wa kusimamia unachotaka kukianzisha kama umeajiriwa
(3)mahitaji ya hapo au sehem unayotaka kufanya biashara ni yapi?
(4)kuna wingi wa watu kiasi gan?
(5)kuna usalama kias gani
(6)atakaekua anakusaidia kazi zako una mwamin kiasi gani
(7)umbali unapoishi na unapotaka kufanyia biashara
(8) matumiz yako kwa siku yapoje
(9) Je kwa nn unataka kufanya biashara,,je ni kwa ajili ya kupata faida tu au kuna kingine?(najua hii namba tisa itakuchanganya Ila ntakufafanulia ucjali)
(10) Una maono na unchotaka kufanya au lah?
Kwa nn nmekuandikia yte haya,unaweza dhan hayana muhimu ila ni nzur sana kujua lengo kuu ni lipi, million mbili ni hela nyingi sana,,sana sana Ila inaweza kupotea ndani ya mud mfup usipokua makin na unachotaka kufanya,na mwisho tambua mfanya biashara mzuri sio yule anaewaza atauza sana Bali ni yule anaejua watu wake wanataka nn zaid nae akawapelekea.... Na kubwa kuliko yte usimwache Mungu wako kila siku,,zingatia sana target na goals....Ntarud nazimua bia za jana
 
Mkuu hicho kilimo ni wapi na mashamba yanapatikana kwa bei gani? By the way ni wazo zuri sana.
Unatakiwa upate ardhi ya mchanganyiko wa mchanga na mfinyazi yenye uwezo wa kutunza unyevunyevu na kuwe na mvua kidogo mwezi April. Ingawa siyo mtaalamu wa kilimo bali kwa ufahamu wangu kidogo wa nchi hii ukipata shamba kati ya Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Rukwa, Katavi na Kigoma unaweza kulima alizeti kwa kipindi cha Febr - March. Mashamba huwa yanakodishwa Mkuu bei ni kulingana na Mkoa. Wengine heka 100,000/= wengine 70,000/=, wengine 50,000/= pengine 30,000/=
 
Unatakiwa upate ardhi ya mchanganyiko wa mchanga na mfinyazi yenye uwezo wa kutunza unyevunyevu na kuwe na mvua kidogo mwezi April. Ingawa siyo mtaalamu wa kilimo bali kwa ufahamu wangu kidogo wa nchi hii ukipata shamba kati ya Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Rukwa, Katavi na Kigoma unaweza kulima alizeti kwa kipindi cha Febr - March. Mashamba huwa yanakodishwa Mkuu bei ni kulingana na Mkoa. Wengine heka 100,000/= wengine 70,000/=, wengine 50,000/= pengine 30,000/=
Asante mkuu, nimekupata sana.
 
Sihitaji uelewa zaidi ila ninawajua victims wa hyo mambo wanaoregreat hadi leo. Na maneno yenu ni matam sana mnavyotaka kumuingiza mtu kwenye hizo biashara. Mm naamini kuwa "when the deal is too good....think twice.
Vipi kuhusiana na walio fanikiwa na iyi biashara tatizo la wabongo ni moja tu tunajifunza kwawalio shindwa watu kibao wamebadilisha maisha yao kupitia foreva
Wabongo watakwambia n Freemasons wale
Shaulizako maisha yako yote utaishia kulalamika tu et oooooh maguful cjui kabada ajira hakuna fursa iyo
 
Vipi kuhusiana na walio fanikiwa na iyi biashara tatizo la wabongo ni moja tu tunajifunza kwawalio shindwa watu kibao wamebadilisha maisha yao kupitia foreva
Wabongo watakwambia n Freemasons wale
Shaulizako maisha yako yote utaishia kulalamika tu et oooooh maguful cjui kabada ajira hakuna fursa iyo
Kama una mapenzi mema uhusishe familia yenu na ndugu zako..mkishafanikiwa tutaiga...Hata muwe na Ka Quality group kenu basi ..maana ngonjera za forever ukiimbiwa unajiona kama kesho Manji ataku beep umpige jeki...tajirisha ndugu na jamaa zako kwanza ndo ukweli ukubalike
 
Kama una mapenzi mema uhusishe familia yenu na ndugu zako..mkishafanikiwa tutaiga...Hata muwe na Ka Quality group kenu basi ..maana ngonjera za forever ukiimbiwa unajiona kama kesho Manji ataku beep umpige jeki...tajirisha ndugu na jamaa zako kwanza ndo ukweli ukubalike
manji atakubip umpige jeki
 
Nunua diagnosis machine ya magari. Kupima gari moja ni jati ya 50-60k. Sema unatakiwa kua mtaalam
 
Back
Top Bottom