Mtaji 70m biashara yangu ya duka la vyakula imeshuka sana nifanye biashara ipi

Mtaji 70m biashara yangu ya duka la vyakula imeshuka sana nifanye biashara ipi

Wewe jamaa kila siku una matatizo kuanzia ya kifamilia mpaka biashara
Kuna siku nilitaka kusema nikaona nitakuwa na “nongwa”😁

Jamaa ni mzee wa uwekezaji mkubwa mkubwa, utasikia shule, petroleum station, Yaani mabiashara ya mitaji ya kwenda.

Sijagusia upande wa maradhi, huko sikusemei, miili yetu hii ukiamka na uzima unamshukuru Mungu 🙏🏽.
Mungu wetu amponye maradhi yanayomuandama.
 
Fanya utafiti kulingana na eneo unalotaka kufanya hiyo biashara_ ila kama maeneo ya yanayokuwa fungua hard ware & electronics
 
Hizo 70m ulizipataje ? Fanya hicho hicho kilochokupa huo mtaji, kwa maarifa ziaidi ili upate zaidi na zaidi !
sio kila pesa inapatikana kupitia biashara
je kama ni malipo yake ya mafao ..
aanza kazi upya ili apate mafao mengine.

je kama ni pesa ya kupewa ndio afanyie biashara

je kama ni urithi
 
Yaani 70 m ndio ufanye biashara ya duka la vyakula kweli?hapo si unaingia Songea au Tunduma unabeba semi yako ya mahindi unafika makambako dalali anakupa connection ya mkenya unauza mzigo...achana na duka litakustres
 
Yaani 70 m ndio ufanye biashara ya duka la vyakula kweli?hapo si unaingia Songea au Tunduma unabeba semi yako ya mahindi unafika makambako dalali anakupa connection ya mkenya unauza mzigo...achana na duka litakustres
Tuma code betpawa mkuu😁
 
Wakuu mim nafanya biashara ya dukal la vyakula Sasa biashara imeyumba sana kutokana na ushindani kuwa mkubwa faida imepungua sana
Wadau nifanye biashara ipi fursa inayoonekana hardware nlikua nafanya nayo tumekua wengi mno faida
Kichwa kinawaka sjui nifanyaje
Kwani sababu gani zimefanya huo mtaj hushuke hapo ndo hujiulize
 
Mkuu kila biashara ina changamoto
Nimeanza biashara ya hardware mwaka huu mwez wa kwanza, nlikua na matarajio makubwa sana, lakini uhalisia unakua tofauti ila wateja napata na nlipo kuna ushindani ila naamini ntakaa sawa tuu
 
Chukukua milioni 40 weka kwenye dhahabu
Baada ya mwaka mmoja utakuwa ni mwingine kabisa
Hebu nielekeze hii biashara,hiyo dhahabu inayopanda ni ipi?nimeshawahi kujaribu kuuza accessories zangu zaidi ya mara mbili bei inakuwa karibu nusu bei uliyonunua inakuwaje?
 
Back
Top Bottom