Mtaje Mwalimu aliyekusaidia na Hutomsahau

Mtaje Mwalimu aliyekusaidia na Hutomsahau

Nilipokua form three nilikata tamaa kabisa ya hesabu. Mwalimu wangu anaitwa Lesle ni Goa ndiye mtu alieniaminisha kuwa nitaweza, alijitolea kunipa extra tuition. Alikua handsome vibaya mno, nilikua ninakwenda just kumuona kwenye ile extra tuition. Alinisaidia kupass hesabu sitamsahau.
 
Nilivyokua form three nilikata tamaa kabisa ya hesabu. Mwalimu wangu anaitwa Lesle ni Goa ndiye mtu alieniaminisha kuwa nitaweza, alijitolea kunipa extra tuition. Alikua handsome vibaya mno, nilikua ninakwenda just kumuona kwenye ile extra tuition. Alinisaidia kupass hesabu sitamsahau.

Hakula tunda kweli? [emoji3][emoji3]
 
Nilivyokua form three nilikata tamaa kabisa ya hesabu. Mwalimu wangu anaitwa Lesle ni Goa ndiye mtu alieniaminisha kuwa nitaweza, alijitolea kunipa extra tuition. Alikua handsome vibaya mno, nilikua ninakwenda just kumuona kwenye ile extra tuition. Alinisaidia kupass hesabu sitamsahau.
utakuwa na matatizo tokea msingi kudate/kutiwer na walimu wako ;mpk nje ukaendeleza kitabia chako!
 
Mwalimu Gertrude kayombo s/ msingi bunju B, alikuwa nguzo yangu kubwa sana ,mwalimu mwalimu Robert a.k.a man Roby mbweni secondary alinisaidia sana kunijenga katika maswala ya uongozi.
 

1. Mwalimu Sekondina Mgimwa-Kicon/Tanesco Primary School
nakumbuka std I kwenye ripoti ya muhula wa kwanza std I ali-comment pale sehemu ya maoni ya mwalimu kuwa ni "mtundu so mzazi anirekebishe", nilambaje bakora dah!


2. Mwalimu Mbombwe-Malecela high school

3. Dr. Zawadi- IFM mkali wa MA I& MA II
Dah huyu jamaa alikuwa akila vichwa ni karibu stream 2 (300-400 Students)


All in all nawakubali sana walimu wote wametutoa mbali.
 
Namkumbuka mr. Masemele mwl. Wa bookeeping pale Jitegemee! Alikuwa hachapi fimbo moja maana akaunt haita balance, ilikuwa fimbo 2,4,6 nk! Alikuwa anadai aki debit 1 lazima a credit 1 iliusitembee upande upande! Kwa kweli ilikuwa very funny.
Ndio mwalimu anayeandikisha wanaorudia mtihan aisee kwenye so funny
 
Namkumbuka mr. Masemele mwl. Wa bookeeping pale Jitegemee! Alikuwa hachapi fimbo moja maana akaunt haita balance, ilikuwa fimbo 2,4,6 nk! Alikuwa anadai aki debit 1 lazima a credit 1 iliusitembee upande upande! Kwa kweli ilikuwa very funny.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom