BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,001
Mwalimu John wa chemistry mkwawa sec
Mwalimu John wa chemistry mkwawa sec
Amekufundisha Iringa,Mwaka gani?Mwalimu wangu Siwarose alifanya nipate A history advance, Japo nilikuwa mjamzito...
2008/2009Amekufundisha Iringa,Mwaka gani?
AmefarikiNamkumbuka sana mwl Chialo(Mwenyez Mungu amlaze mahala pema peponi). Alinifundisha mathematics nikiwa Iyunga Tech
133Darasa LA 4 mwalim sirikwa mwanajeshi,,alinifanya niwe na adabu kwa wakubwa na wadogo,mwalimu mmoja muhaya Mama Lugwereka nimekosa swali LA msamiati nikapigwa fimbo 133 sitasahau
Hakuonja na papuchi kidogoo?Nilipokua form three nilikata tamaa kabisa ya hesabu. Mwalimu wangu anaitwa Lesle ni Goa ndiye mtu alieniaminisha kuwa nitaweza, alijitolea kunipa extra tuition. Alikua handsome vibaya mno, nilikua ninakwenda just kumuona kwenye ile extra tuition. Alinisaidia kupass hesabu sitamsahau.