Mtepetallah
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 230
- 130
Mwalim Paulina KIPOBOTA alinifunfisha darasa la kwanza shule YA msingi ISMANI iliyopo Iringa Jimbo la Ismani
nilimnyima hiyo nafasi aisee ikawa kosa kanipiga sana yule ticha
kabisa sa yule mzee hata kuvaa hawezi me hapanaBora hata ulivyonipa mie....
Yegela kwa sasa ni mkuu wa Nkola secondaryhawa watu wako wapi?
we jamaa Umenikumbusha mbali enzi za mchikichini daaah ila walinisaidia sana.Mwlimu Hidden -maths
Moddy physics & Mgote -physics
Omar hakim & Mbuga - Biology
Unga & Mbuga - Chemistry
Walikuwa ni msaada mkubwa kwa wanafunzi na Bado wanaendelea kuwa msaada.
Wamenisaidia kwenda shule ya vipaji japo Sina kipaji maalumu,Ningetamani waendelee kutufundisha mpaka chuo sababu ya mazoea
NOTE:
bila kuongeza juhudi binafsi huwezi kufanikiwa.
pekupekuRicardo maria
Kweli aisee now mwanangu anaseven yearsDuuuuh Amazing..... Kweli kweli