Mtaje CDF Bora wa muda wote hapa Tanzania

Mtaje CDF Bora wa muda wote hapa Tanzania

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,644
Reaction score
20,507
GT
Haya wale wazee wa miwani myeusi ni CDF yupi alifanya jeshi liheshimike zaidi tuanzie enzi za mwalimu.
Mimi naanza na huyu jamaa Davis hakuwa mwanasiasa uwepo wa mkapa ulimfanya Kikwete asikohoe

pic-people-in-the-news.jpg
 
Kwangu Mimi Bora kuliko wote ni ambaye atatuondolea Hawa walafi atakua Bora Kwa Sasa na vizazi vinavyokuja
Mabeyo alikosa nafasi ya kuingia katika vitabu vya historia. Angechukua nchi kwa miezi sita kisha akaitisha uchaguzi tukapata rais halali. Sasa mlokole wa kikatoliki anajifanya eti kufuata katiba kumbe katiba yenyewe ni kijitabu tu.

Mabeyo alaumiwe yeye na kizazi chake kwa mateso yote tunayopitia leo hasa sisi Watanganyika!

20251023_135426.png
 
Mabeyo alikosa nafasi ya kuingia katika vitabu vya historia. Angechukua nchi kwa miezi sita kisha akaitisha uchaguzi tukapata rais halali. Sasa mlokole wa kikatoliki anajifanya eti kufuata katiba kumbe katiba yenyewe ni kijitabu tu.

Mabeyo alaumiwe yeye na kizazi chake kwa mateso yote tunayopitia leo hasa sisi Watanganyika!

View attachment 3492302
Kijitabu du hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom