[h=5]Mtachonga sana lakini 2015 Urais uko palepale, yaani ni lazima nitagombea haina mjadala hii, nchi ni yetu wote hakuna mwenye hatimiliki na nchii hiii.[/h]
Hao ndo zao kutukana watu wa low classes as if wao sio watanzania...mazafanta kabisa hao...
[h=5]Mtachonga sana lakini 2015 Urais uko palepale, yaani ni lazima nitagombea haina mjadala hii, nchi ni yetu wote hakuna mwenye hatimiliki na nchii hiii.[/h]
[h=5]Mtachonga sana lakini 2015 Urais uko palepale, yaani ni lazima nitagombea haina mjadala hii, nchi ni yetu wote hakuna mwenye hatimiliki na nchii hiii.[/h]
ni haki ya kikatiba kugombea na vizuri kuwa kwenye kumbukumbu kwamba uliwahi kuwania cheo cha juu kabisa cha uongozi wa nchi 2015.
Sikukatishi tamaa lakini unaweza kuwa kwenye record ya TOP failures kwa kupata kura zisizozidi 4, yaani yako, ya mkeo kama unae na wazazi wako wawili kama bado wapo hai.
nakutakia maandalizi mema Mr. President.
....Mheshimiwa Rais Mtarajiwa..... Deogratius Kisandu ....... tayari umepata kura yangu moja ..... kama ni kwa sababu hiyo nyekundu ndiyo inayokusukuma kugombea..... ni ya maana sana....hasa kwa maendeleo/ mageuzi ya nchi yetu......................Mtachonga sana lakini 2015 Urais uko palepale, yaani ni lazima nitagombea haina mjadala hii, nchi ni yetu wote hakuna mwenye hatimiliki na nchii hiii.
[h=5]Mtachonga sana lakini 2015 Urais uko palepale, yaani ni lazima nitagombea haina mjadala hii, nchi ni yetu wote hakuna mwenye hatimiliki na nchii hiii.[/h]
===>Kweli huu urais sasa unaonekana kama ubalozi wa nyumba kumi,kazi ipo!Mtachonga sana lakini 2015 Urais uko palepale, yaani ni lazima nitagombea haina mjadala hii, nchi ni yetu wote hakuna mwenye hatimiliki na nchii hiii.
Mtachonga sana lakini 2015 Urais uko palepale, yaani ni lazima nitagombea haina mjadala hii, nchi ni yetu wote hakuna mwenye hatimiliki na nchii hiii.
Kwani nani kakuzuia? Kwanza urais wenyewe wakati huu ni kazi rahisi sana ambayo hata mtoto wa darasa la saba anaweza kuifanya.Urais mgumu ni ule alioushika Nyerere. Maana yule ndiye aliyefanya kazi ya kujenga utaifa, kusomesha watu bure, kutoa tiba bure, kujenga viwanda kila kona, kuanzisha mashirika ya umma, kuinua kilimo, kuimarisha uchumi, kujenga heshima ya nchi kimataifa nk na usafiri wake mkubwa ulikuwa Mandolini 109 Sasa hivi rahaaaa! Si umeona waliofuata walifungua mnada mkubwa kunadisha kila alichokiasisi Mwalimu? We ukiupata kazi kubwa ni safari za kuizunguka dunia kuhemea vibaba na kubembea! Marekani kwako ni kama kutoka magogoni kwenda posta mpya. Tena wewe tutakujengea na ikulu ndogo huko!Mtachonga sana lakini 2015 Urais uko palepale, yaani ni lazima nitagombea haina mjadala hii, nchi ni yetu wote hakuna mwenye hatimiliki na nchii hiii.
[h=5]Mtachonga sana lakini 2015 Urais uko palepale, yaani ni lazima nitagombea haina mjadala hii, nchi ni yetu wote hakuna mwenye hatimiliki na nchii hiii.[/h]