Kaitampunu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,381
- 1,256
Gombea sasa hivi husisubiri 2015, by the way ni urais upi unaokufaa?Mtachonga sana lakini 2015 Urais uko palepale, yaani ni lazima nitagombea haina mjadala hii, nchi ni yetu wote hakuna mwenye hatimiliki na nchii hiii.