Mtachonga sana lakini URAIS 2015 lazima nitagombea tu!

Civilian Coin

JF-Expert Member
Dec 2, 2012
2,305
4,334
[h=5]Mtachonga sana lakini 2015 Urais uko palepale, yaani ni lazima nitagombea haina mjadala hii, nchi ni yetu wote hakuna mwenye hatimiliki na nchii hiii.[/h]
 
[h=5]Mtachonga sana lakini 2015 Urais uko palepale, yaani ni lazima nitagombea haina mjadala hii, nchi ni yetu wote hakuna mwenye hatimiliki na nchii hiii.[/h]

Ha ha ha akuchague nani?
Nini sera ya chama chako wewe?
Kumbe na wewe unaota ndoto za rais kama mwenzako.
:Never happen
 
Hata mimi nitagombea urais kwenye Chuo chetu. Mtoa taarifa jiandae kupambana na mimi.
 
Ninadhani tatizo linalokusumbua ni inferiority complex kwa sababu kwa mtu mwenye fikra na upeo wa juu atatambua kwamba hakuna mwenye hati miliki ya nchi na ikichukuliwa kuwa kuna ugombea binafsi uko mbioni unakuja Tanzania.

Mapungufu yako yanakufanya ufikirie kama huwezi kugombea and as a result, unafikiri watu wanakupinga kutokana na mapungufu hayo.

Ukiona kifaranga kipo juu ya chungu ujue chini kuna mama yake-Zitto.

By the way, ninadhani labda sijakupata vizuri. Urais gani huyo ambao kuna watu wanadhani wamemiliki?.
 
[h=5]Mtachonga sana lakini 2015 Urais uko palepale, yaani ni lazima nitagombea haina mjadala hii, nchi ni yetu wote hakuna mwenye hatimiliki na nchii hiii.[/h]

Ukifanikiwa kupata nusu ya kura alizopata Dovutwa, mimi nahama nchi! Na hicho chama chenu kweli cha ajabu, yaani mtu unajitangaza tu mimi ndiye nitakayegombea Urais, nao wanasema hewala bwana wewe ndiye mgombea wetu? Kweli una akili ndogo kuliko hata UVCCM!
 
Back
Top Bottom