Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,968
Kweli, mazuzu wanaona ni kama umonita wa darasa. Wanachofikiria wao ni safari za kuizunguka dunia kwani wanaona mwenzao anafaidi.===>Kweli huu urais sasa unaonekana kama ubalozi wa nyumba kumi,kazi ipo!