Mwanangikolo
Member
- Nov 10, 2022
- 51
- 73
Swali kwenu nyinyi mamlaka ya maji mkoa wa Morogoro sijui MORUWASA cjui MWARUWASA, mana me mgeni, kwenye huu mkoa nna mwez wa 2.
Sasa toka nihamie kwenye huu mkoa na mtaa nliopanga nyumba apa Karume tunaenda wik ya 2 sasa maji hayatoki shida ni nini asee mana sasa tunakoelekea mtaaan yatazuka magonjwa ya mlipuko coz kila nyumba unayopta ni harufu ya vinyesi na chemba za vyoo!
Tunahtaji majibu ya haraka na kama ni tatzo la ufundi mlitatue haraka mana hali ni mbaya na wale wa kuwajibika wawajibike asee!
Kweli ule msemo wa mtanikumbuka umeanza kutuingia tunakukumbuka kweli baba Magufuli!
Astalavista
Sasa toka nihamie kwenye huu mkoa na mtaa nliopanga nyumba apa Karume tunaenda wik ya 2 sasa maji hayatoki shida ni nini asee mana sasa tunakoelekea mtaaan yatazuka magonjwa ya mlipuko coz kila nyumba unayopta ni harufu ya vinyesi na chemba za vyoo!
Tunahtaji majibu ya haraka na kama ni tatzo la ufundi mlitatue haraka mana hali ni mbaya na wale wa kuwajibika wawajibike asee!
Kweli ule msemo wa mtanikumbuka umeanza kutuingia tunakukumbuka kweli baba Magufuli!
Astalavista