MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,706
- 4,923
Straight to the point:-
Kabla Mama SAMIA hajawasili Mkoa wa Tabora kwà ziara ya siku kadhaa....maji yalikua yanatoka vizuri sana mpaka raha.
Baada ya ziara ya Mama kuisha, maji nayo yakaisha. Now Mkoani hapa kuna uhaba wa Maji mkubwa sana. Maji hayatoki mabombani kwà takribani 10 days sasa.
Asee Jumaa Aweso, ebu tufanyie hisani bhana! Mnatesa sana watu wa Tabora!
Note: Za chini ya kapeti nilizozipata kutoka kwà mtumishi wa TUWASA...maji yaweza kukosekana Tabora kwà zaidi ya wiki mbili zijazo!
View attachment 2793484
Kabla Mama SAMIA hajawasili Mkoa wa Tabora kwà ziara ya siku kadhaa....maji yalikua yanatoka vizuri sana mpaka raha.
Baada ya ziara ya Mama kuisha, maji nayo yakaisha. Now Mkoani hapa kuna uhaba wa Maji mkubwa sana. Maji hayatoki mabombani kwà takribani 10 days sasa.
Asee Jumaa Aweso, ebu tufanyie hisani bhana! Mnatesa sana watu wa Tabora!
Note: Za chini ya kapeti nilizozipata kutoka kwà mtumishi wa TUWASA...maji yaweza kukosekana Tabora kwà zaidi ya wiki mbili zijazo!
View attachment 2793484