Nipo hapa karibu na bugurun kwenye folen mandela road. Msafara wa magari ya FFU Kama 6 wakiwa full loaded na magar ya washa washa 2, yanaelekea njia ya ubungo. Wapi kimenuka? Maana wapo kishar zaid.
Duu! Bas udsm hari tete, maana hawa jamaa wanavyoonekan wana usongo, cju wameamshwa kwa maji ya barid
Walioko pande za Mlimani watujuze kama kumeshanuka.
What else do you have empty pumpkin....Vijana badala ya kusoma wanataka kushindana na serikali ngoja wakachezee kichapo kwanza!
Vijana badala ya kusoma wanataka kushindana na serikali ngoja wakachezee kichapo kwanza!
What else do you have empty pumpkin....
The remedy of fire is fire...