Msururu wa FFU wapo full loaded na magar ya washawasha wap kumenuka?

yaani wewe hauna hata 'kicheche' wa kujipozea mpaka usubiri
mgomo wa wanafunzi ndiyo upate bahati yakushika chuchu za wanafunzi... duh... kumbe ukame ndiyo huwa unawafanya ffu kuwa energized kiasi kile wanapowashughulikia wanafunzi!!

Unataka kuhatarisha amani unadhani kuna njia gani tena zaidi ya maji kuwasha!
 
nimewakuta udsm karibu na crdb,geti maji,geti dogo la ardhi.namna wamekaa mkao wa kula...jk nchi itakushinda,hii sumu ya ubabe itakutafuna.

Aaaaaaah! Anne itamshinda lini wakati ilishamshinda muda mrefu huyu mkulu? Mafisadi yanatesa tuu nae anayatizama
 
Kuna taratibu za kufuata sasa wewe unadhani serikali itakubali kupelekeshwa na hao wanafunzi?

wangekuwa wanatekelezewa madai yao, migomo ingekuwepo?? Acha ushabiki mbovu wewe, wao sio wajinga mpaka kufikia uamuzi huo!
 
Wanafunzi wa sasa waoga sana yani me ningekuwa mwanafunzi leo ningelipua makazi ya mkandara hapo,na kuna kipindi ticha flani hapo alikua ananizingua na nilipanga nilipue utawala sema tulienda nae sawa,hawa washenzi dawa yao ni kulipua yani mnashindwa kujioganaiz wanafunzi hata wa5 mkanunua guruneti na kulipua utawala? Kama mbwai mbwai tu hii nchi mbele haitotawalika biliv dat I'm tellin y'all buddiez
 
Wanafunzi wa sasa waoga sana yani me ningekuwa mwanafunzi leo ningelipua makazi ya mkandara hapo,na kuna kipindi ticha flani hapo alikua ananizingua na nilipanga nilipue utawala sema tulienda nae sawa,hawa washenzi dawa yao ni kulipua yani mnashindwa kujioganaiz wanafunzi hata wa5 mkanunua guruneti na kulipua utawala? Kama mbwai mbwai tu hii nchi mbele haitotawalika biliv dat I'm tellin y'all buddiez

Unachekesha...Source: FaizaFoxy.

Wewe utajilipua na kiingereza chako cha Kisharobaro, peleka Facebook!
 
Kuna taratibu za kufuata sasa wewe unadhani serikali itakubali kupelekeshwa na hao wanafunzi?
Serkali hii haipelekeshwi na wanafunzi, inapelekeshwa na uwezo wake mdogo wa kuongoza. Mishahara/posho hailipwi hadi wahusika wagome?? Haya matatizo yote yanaletwa na watu wanaong'ang'ania nafasi za uongozi wasizoziweza kwenye hali ya kawaida mtu anaposhindwa anaacha ili kuinusuru jamii na yeye mwenyewe. Hii hali siyo nzuri kwa mkulu mwenyewe (stress, mawazo, na kutokujiamini) na kwa wananchi ( hali mbaya ya maisha, ukosefu wa ajira, kudhurumiana na kuibiana ili mradi kila mtu ainusuru familia yake nk)
Mkuu wewe upo jirani na hawa watawala, wafikishie salamu mambo haendi hata kidogo waachie ngazi ili kuinusuru jamii
 
Back
Top Bottom