Msururu wa FFU wapo full loaded na magar ya washawasha wap kumenuka?

Daaa acheni najuta kuikosa ambush ya leo mana ningebonyeza chuchu huko kama sina akili nzuri.

mi mwenyewe na laani kweli kwanin haujaja maana nilikuwa na ham kweli uje iliniku touch touch masabuli yako ikiwezekana ningekuka cameroon kbs fanya basi uje.
 
Hivi ni kweli kua wale wasomi wa pale mlimani waliozoea kalamu, daftari, rula na vitabu wanastahili hizi ambush za namna hii kweli??!!!
Mbona serikali yetu haina utu??
Yaani wanajikoki utafikiri labda wameambiwa kuna majambazi mahali, kumbe wanafunzi
 
Walioko pande za UDSM au maeneo ya karibu karibu hapo Mlimani city basi mtujuze kwa haraka tujue kinachoendelea maana kama ndo hivyo basi ujue JK mkuu wa magamba ameshindwa kazi maana kila siku wanawalaumu ma- dent eti wafuate njia nzuri za kuwakilisha hoja zao lakini hata hiyo ikitumika bado matatizo yao hayashughulikiwi kwa maana ya kutekelezewa matakwa yao.ila inapofika kulipana posho za wabunge na kuchangishana kupitisha budget hakuna virungu,mkulu akitaka kwenda kuvinjali ulaya na totos pesa zipo na wala hakuna virungu,inapofika kutumia pesa kwa mamvo ya kijinga mfano sherehe miezi miwili hadi mitatu eti sherehe za uhuru pesa zinapatikana,isipokuwa tu kuaandaa wataalamu vyuoni hela hakuna tena jibu kwa virungu,mabomu na maji ya kuwasha,kweli hii nchi inaongozwa na mabogas kutoka chama cha magamba.
Wanafunzi nyie msikubali kirahisi,jaribuni kujipnga vizuri mshinde vita hiyo bana,kwanini wamachinga wa kule mbeya walitoa upinzani mkali hadi wakaita msaada?nyie hapo kuna ma-engeneers wa fani mbali mbali,chemical,mechanical na ujuzi mwingine mnajifunza kwanini wawashinde vilaza wa polisisiemu?mngelikuwa mnaeleweka watu tungewasaidia hao polisisiemu ni wachache san kwa mbinu,wao wana-relay kwenye maguvu tu,maana najua mnaonewa na nadhana watu hawa kina Mkandara na wenzake serikalini wana-ubinafsi hawataki mje kuwa viongozi na au wajasiriamali wenye shule,na wanahofu ya kung'olewa madarakani na kizazi chenye elimu.ungananeni kwa umoja wenu iko siku mtashinda na mwisho tutashinda kama taifa.
 
Kama Wangekuwa na Moyo Huo Kwenda Jangwani Kuwaokoa Wana Mafuriko Ningeona Kweli Wanatenda Haki!! Nguvu Zote Hizo Kuwapiga Raia Ila Hawana Hata Ubavu wa Kuokoa Mtu Kunako Paa!!!
 
Hivi ni kweli kua wale wasomi wa pale mlimani waliozoea kalamu, daftari, rula na vitabu wanastahili hizi ambush za namna hii kweli??!!!
Mbona serikali yetu haina utu??
Yaani wanajikoki utafikiri labda wameambiwa kuna majambazi mahali, kumbe wanafunzi
ukitaka kujua kwamba tuna jeshi la polisi basi waandamane chadema au wanafunzi wa chuo...lakini kama twiga wanaibwa na ufisadi mwingine, kiiimya.
 
kwa sasa ud imegeuka kua parkng ya ffu, rev squar kuna defender tatu zilizojaza askar utawala zpo mbil na nyngne zpo kwnye maget ya kutokea ukiachilia mbal moja linalokatza kila kona ya chuo... Masomo yanaendlea bt wa2 clas co weng ka kawaida, nkilipot kutoka caftria one mm invsble.!!!
 
Hivi wakati wa mafuriko mbona sikuona Rapid Responce kama hii?
 
Class struggle in Tanzania, it is very unfortunate that those in power have either forgotten or where not in the lecture rooms/classrooms, when this was being lectured.
 
Magari yenu yakipigwa mawe na wanafunzi mnalalamikia serekali !!! Ndio wanachuo wana hoja za kikwelikweli , ila kufanya vurugu sio jibu !!! Fuateni mfano wa Mahatma Ghandi , PASSIVE RESISTANCE is the way to go !!!
 
Kwani UDSM kuna mgomo wa nini tena jamani, si juzi tu hapa wametoka kugoma tena? Au nao wanagomea KUPIGA MBIZI pale kivukoni!!!!
 
maskini! Mi nafkiri kuna mkakati mzito sana juu ya hicho chuo si bure, hapo chini ya hy ardhi si kunasadikika kuna madini? Km ni kweli basi tusishangae siku 1 kusikia chuo kimefungwa na eneo hl kuchukuliwa na mwekezaji anayewekeza kigamboni, SERIKALI YA CCM INAUWEZO WA KUFANYA LOLOTE.
 
Nipe time framing ya mgomo mmoja hadi mwingne,kwa kuwa wamegoma juz wanapaswa kugoma lini tena?
Kwani UDSM kuna mgomo wa nini tena jamani, si juzi tu hapa wametoka kugoma tena? Au nao wanagomea KUPIGA MBIZI pale kivukoni!!!!
 
maskini! Mi nafkiri kuna mkakati mzito sana juu ya hicho chuo si bure, hapo chini ya hy ardhi si kunasadikika kuna madini? Km ni kweli basi tusishangae siku 1 kusikia chuo kimefungwa na eneo hl kuchukuliwa na mwekezaji anayewekeza kigamboni, SERIKALI YA CCM INAUWEZO WA KUFANYA LOLOTE.

si katiba inaruhusu?ndo wanaifuata vizuri
 
Back
Top Bottom