Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
leo ndo mara ya kwanza naona mtu anajiquote halafu anajipingaHaileti maana kuwa kila uovu unaotendwa kuhusishwa na Uislamu.
Wakenya wameact mara nyingi sana au wametaka nchi yao iwe uwanja wa wasanii.Mpaka leo ilikuwaje kwenye ile mall haijaeleweka.Hatutaki Tanzania iwe na usanii kama ule.