UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,693
- 12,326
Haha mkuu ile kitu sio kila mtu inamkubali ni sawa tu na chakula kuna watu wakila sea foods wanavimba au kuku ,sasa kama kitu hukiwezi unalazimisha nini ?? Acha wenye vichwa vyao wavitumie ,hilo la tembo aisee sijui ila kuna makatibu wa vyama wanahusishwa nadhani ingekua vyema ukawaulize wao kwanini wanaona hiyo biashara haina tatizoMkuu mimi nilishuhudia kijana wa jirani yangu
alichanganyikiwa akawa anapiga kelele anasema kuna watu
wanamtoa utumbo,jirani akaniita tukasaidiana kumpeleka hospitali
tulipomfikisha amana wakamchech wakasema tumpeleke kitengo cha magonjwa
ya akili,walipompima wakasema anatumia madawa ya kulevya
wakampa dawa na alipopata ufahamu alikiri kuwa huwa anavuta bangi.
Huu ndo ushuhuda nilio ushuhudia.
Na wewe naomba uniwekee madhara ya biashara ya meno ya tembo
kwa binadamu,mbona inapigwa marufuku?