Msukuma: Serikali ihalalishe Bangi na Mirungi

Msukuma: Serikali ihalalishe Bangi na Mirungi

Bhang/Ganja/Marijuana:
Biological source;Cannabis sativa plant
Active ingredient; Tetrahydrocannabinol which has a psychoactive effect.
Medicinal effects;
-for recreation (relaxation)
-causes increased appetite
-antiemetic
-anti epileptic effect
-antispasmodic
-anti asthmatic
-treatment of glaucoma
Side effects;
-Heavy and prolonged uses increase the risk of psychotic disorders
-anxiety
-dry mouth
-red eyes
-impared motor skills
-decreased short term memory.
Haha umenitajia Glaucoma nikakumbuka Movie ya due date ,Anyway sasa hizo side effects za bangi linganisha na side effects za quinine, sigara,Cocacola, nk ipi ina afadhali ??
 
Asifiaye mvua jua imemnyea.Baadhi ya wah.Wabunge wapimwe akili.Inawezekana baadhi yao matendo wanayotenda na kuyashabikia wao ni sehemu ya tatizo.
 
NJANJA WEED
images-5.jpeg



swissme
 
Haha umenitajia Glaucoma nikakumbuka Movie ya due date ,Anyway sasa hizo side effects za bangi linganisha na side effects za quinine, sigara,Cocacola, nk ipi ina afadhali ??
Mkuu kwenye psychiatric units,psychiatric cases nyingi hiyo "substance" pia inahusika.
 
Kwa hiyo mkuu,Bangi ihalalishwe?Jamaa elimu duni inamsumbua
You sound like zero brain if you can not do just a personal research. Kazi ipo mtu kama wewe ujitambue sijui lini,actually we got long way to go
 
Katika hali isiyo ya kawaida mbunge wa geita vijijini"Msukuma,amesema haoni sababu ya serekali kuzuia bangi na mirungi kuwa zao la biashara maana haoni madhara yake.
Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa zao la biadhara.
Polisi walikuwa mbali? Walitakiwa kumsachi mara moja
huenda wangemkuta na misokoto kadhaa mfukoni.

Haya ndiyo madhara ya kila mwenye pesa kumpa uongozi
bila kujali hizo pesa kazipata vipi.

Bangi pamoja na madawa ya kulevya na yale ya kuongeza nguvu
kwa wanamichezo si haramu hapa nchini tu bali ulimwenguni
ukiondoa korea ya kaskazini,sasa huyu msukuma anataka iharalishwe?
kweli nimegundua ni kwa nini huwa anatoa kauli tata,kumbe nyuma yake huwa kuna msukumo
wa majani tata.
 
Bora walipe kodi ili uchumi ukue


watumiaji na wafanyabiashara wangekata leseni kwa mwaka (elfu 50 au zaidi)....

pia na ktk biashara ya bangi kutozwe kodi na ushuru.

na hospilati za vichaa kama milembe ziwepo kila mkoa.
 
Katika hali isiyo ya kawaida mbunge wa geita vijijini"Msukuma,amesema haoni sababu ya serekali kuzuia bangi na mirungi kuwa zao la biashara maana haoni madhara yake.
Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa zao la biadhara.
mzee wa chopa katika ubora wake!!
 
Huyu Mh.ni mbunge wa Jimbo gani na kutoka chama kipi...???? Ni wa kuteuliwa,kuchaguliwa au viti maalum.....????Maoni yake tuyaheshimu lakini tusihalalishe hivyo vitu...lakini pia tusiwabuguthi watumiaji hasa wa mirungi na wasitumie hadharani wala kuuza hadharani.
 
hii kitu nchi nyingne kama marekani ni legal kabisa...
#high on "legal marijuana/ cannabis"
 
Tehe! Tehe! Tehe!!! Bravo Mzee Wa Ndumu!!!! Musukumaaaaaa!!!!!
 
Mkuu na mimi nina elimu ya hapa na pale
Hebu kwa faida ya wenzangu kama Msukuma naomba unitajie madhara ya bangi ??
Mkuu mimi nilishuhudia kijana wa jirani yangu
alichanganyikiwa akawa anapiga kelele anasema kuna watu
wanamtoa utumbo,jirani akaniita tukasaidiana kumpeleka hospitali
tulipomfikisha amana wakamchech wakasema tumpeleke kitengo cha magonjwa
ya akili,walipompima wakasema anatumia madawa ya kulevya
wakampa dawa na alipopata ufahamu alikiri kuwa huwa anavuta bangi.
Huu ndo ushuhuda nilio ushuhudia.

Na wewe naomba uniwekee madhara ya biashara ya meno ya tembo
kwa binadamu,mbona inapigwa marufuku?
 
Katika hali isiyo ya kawaida mbunge wa geita vijijini"Msukuma,amesema haoni sababu ya serekali kuzuia bangi na mirungi kuwa zao la biashara maana haoni madhara yake.
Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa zao la biadhara.
Ni akina nani kweli walioiunga mkono hiyo hoja ya Msukuma? Nasikia walikuwa wengi lakini TBC haikuwarusha live!
 
Katika hali isiyo ya kawaida mbunge wa geita vijijini"Msukuma,amesema haoni sababu ya serekali kuzuia bangi na mirungi kuwa zao la biashara maana haoni madhara yake.
Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa zao la biadhara.

Msukuma si ndio huyu alisema mgombea wetu amejinye .....??, kumbe na yeye anavuta bang....?
 
Back
Top Bottom