Msukuma: Serikali ihalalishe Bangi na Mirungi

Msukuma: Serikali ihalalishe Bangi na Mirungi

Halafu unamkuta mtu tena anaitwa mheshimiwa anatetea bhangi.
Wakati kuna mambo mengi ya msingi yanawagusa wananchi.
Hapo ajiulize huyo kijana anavua samaki ni mzima??
 
Hivi Ilimu yake ikoje kwani hata ongea yake utagundua hata 'mambo ya vidato' hakukanyaga!
 
Halafu unamkuta mtu tena anaitwa mheshimiwa anatetea bhangi.
Wakati kuna mambo mengi ya msingi yanawagusa wananchi.
Hapo ajiulize huyo kijana anavua samaki ni mzima??
wala viwavi hapo lumumba wameshahalalisha wanavuta hapo ofisini kwao.
 
Halafu mirungi/miraa/gomba ni kama mchicha hadi mtambaswala watu wanachanja.Hapo ndo ujiulize huko kote mzigo unafika vipi?
 
huyo msukuma nae bangi kweli
Katika hali isiyo ya kawaida Mbunge wa Geita Vijijini"Msukuma, amesema haoni sababu ya Serikali kuzuia bangi na mirungi kuwa zao la biashara maana haoni madhara yake.

Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa zao la biashara.
 
Kweli naihurumia jamii ya Watanzania kwani kodi zetu zinaliwa hivi hivi. Yaani gharama kubwa iliyotumika kuwaleta mjengoni waheshimiwa hawa ni ili kufanya utumbo utumbo kama huu? kuna mambo gani muhimu kwa taifa hili na watu wake ambayo yanahitaji kuwa articulated na waheshimiwa hawa hadi kufikia kuwaza na kutenda ujinga kama huu? Wananchi sasa fungukeni katika mabongo yenu aina ya watu wa kuwapa uongozi na siyo ushabiki wa kichama, kikanda n.k.
😡
 
Vipi tukijenga kiwanda cha kubangulia mirungi kama korosho na zipakiwe ktk mapakiti yani dukani ka biskiti?
 
Halafu viwanda vya bangi vijengwe kama vya sigara.Ajira itapatikana na tutauza hadi ulaya na hata America na Assia.
 
Nchi yangu ni ya viwandaaa Msukuma,Ulisahau pale kakubiro,nyehunge,bupandwa,nkome na hata Geita watu wanalima sana mananasi,si bora umtafute mwekezaji awekeze ktk kiwanda cha juisi ya nanasi mf.Ongea na Bakhressa au Azania.
 
Back
Top Bottom