Nje ya Mada
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,399
- 492
Umeanza kuharibu, KAA KIMYAIla bange baba ni hatari.Niliwahi fuata reli kwa miguu kutoka shaurimoyo kwataz za reli miaka hiyo kama mnakumbuka hadi pugu.Bahati sikukutana na treni ya kati ningekoma.Sijui tungepishanaje maana mimi mwenyewe nilikuwa kama gusi.Ila nilipata fahamu baada ya mlipuko kuisha.Yani toka siku hiyo nilisalimu amri maana ujana ulitaka kuniviruga.Ninamsihi ndugu yangu msukuma atafakari kwa kina.
Legalize it