Msukuma: Serikali ihalalishe Bangi na Mirungi

Msukuma: Serikali ihalalishe Bangi na Mirungi

Hiii ni balaa sasa!! Alisema usukuman bangi mtu anavuta atapata nguvu ya kulima heka mbili!!! Ingekua hivo c watu wangekua matajir!!! Mungu atuhurumie
 
free weed
images-4.jpeg



swissme
 
ndumu wasiruhusu ije hadharani itapungua stimu... we si unaona gongo msimamo tofauti na kiloba

smoke weed everyday-nate dogg
 
Hata nchi za magharibi walianza na mijadala kama hii;mara bangi ihalalishwe,mara utoaji mimba uhalalishwe,hivo watanzania tusishangae iko siku kuna watu watataka na USHOGA uhalalishwe.BEWARE.
Usiweke ulinganifu Wa uhitaji Wa kuhalalisha matumizi ya mmea mtakatifu "Bhangi" na Ushoga "Usenge" utakua unamkosea sana MUNGU MTAKATIFU na Watumiaji Wa Bhangi.
 
Hiii ni balaa sasa!! Alisema usukuman bangi mtu anavuta atapata nguvu ya kulima heka mbili!!! Ingekua hivo c watu wangekua matajir!!! Mungu atuhurumie
Tunakatazwa kuvuta ndio maana hatulimi heka 2, mturuhusu muone.. Hapa Kazi Tu
 
Katika kile kinachoonekana kukurupuka na kutojielewa leo mbunge musukuma kasheku ameomba serikali ihalalishe matumizi ya bangi ili iweze kuongeza pato la serikali. Hii inaonesha ni aina gani ya wabunge tulionao katika awamu hii. Naomba serikali ipige marufuku wabunge wa namna hii.
Anatetea biashara zake huyo,
 
Kilimo Cha Bangi

Kama Kichwa cha Habari Kinavyojieleza

Hili Zao Likialalishwa Kwa Hakika Pato La nchi Litaongezeka

Kuhusu Madhala Kuna Vitu Vingapi Hapa Dunian Tunafanya Vina madhala..??


Aaaaaaarrrrrgggg Halalishen Buana

Mbona Wenzetu Wamehalalisha jaman


 
Kilimo Cha Bangi

Kama Kichwa cha Habari Kinavyojieleza

Hili Zao Likialalishwa Kwa Hakika Pato La nchi Litaongezeka

Kwani sio zao la kibiashara? maana linauzwa na kununuliwa na wateja tupo.
Halafu likihalalishwa Pato haliwezi kuongezeka kwa sababu litakuwa linapatikana kwa wingi na kwa bei rahisi na wakati mwingine hata bure utapata kwa sababu litakosa soko na kila mtu atalima.
 
Kwani sio zao la kibiashara? maana linauzwa na kununuliwa na wateja tupo.
Halafu likihalalishwa Pato haliwezi kuongezeka kwa sababu litakuwa linapatikana kwa wingi na kwa bei rahisi na wakati mwingine hata bure utapata kwa sababu litakosa soko na kila mtu atalima.
Yani Litapatikana kilahisi Vp

Kwani Tumbaku Inapatika Kilahisi....



Serikali Ikiweka mikakati Mizur Hili Linakuwa bonge la Biashara
 
Mimi napendekeza iwe biashara ya kusafirisha nje tu, maana soko ni kubwa mno na tutaingiza $$$ kwa wingi.
 
Hata nchi za magharibi walianza na mijadala kama hii;mara bangi ihalalishwe,mara utoaji mimba uhalalishwe,hivo watanzania tusishangae iko siku kuna watu watataka na USHOGA uhalalishwe.BEWARE.
Na huku ndiko tunakoelekea kwa kuwa na wawakilishi kama akina Msukuma
 
Huyu mbunge yupo sawa kwa 100% / UNGA / COCAINE NI VITU VIBAYA MNO.
KILA SIKU HUWA NASEMA SIONI MADHARA MAKUBWA YA BANGI AU MILUNGI MAANA KILA MWENYE KUIHITAJI HUPATA TENA BILA USUMBUFU WOWOTE,MITAANI.
n.b:- Ugoro ni mbaya sana na hatari kuliko Milungi au bangi maana husindikwa kwa moshi ambao ni carbon tupu.
 
Wampige sachi hawatakosa msokoto mmoja na rizla kama wema!
 
Kumbe wana ushirika wa kiuchumi na Bilionea Gwajima.
 
Back
Top Bottom