Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
- Thread starter
- #41
Mbu.....hiyo ya kunical na no niczozijua coz anajua ya kwake cwez kupokea(leo pia amecal na no nicyoijua) ndio inanikera zaidi zaidi, kuna cku alinical nipo na msukuma tunaelekea kuwajibika, unajua ile mtu anaanza na salamu ndefu maelezo mengi na hujamjua bado, unabakia unamuuliza mwenzangu nani, anakuuliza/eleza cjui nn na nn na nn, msukuma pembeni anahic unaongea kwa wacwac, inaniletea shida sana sana, unakacrikiwa kucpo na lazima..na maswali yacyo na lazima...anakuharibia cku kabisa......kweli inaudhi sana.
...Unaona sasa? kama alikuwa na nia nzuri tu kukufahamisha mama'ke anaumwa, kwanini hakukupigia kwa namba yake/ au kukutumia sms?...Tatizo linapokuja suala hili huwezi sana kuingilia, maana unahisi mwenzio ndiye anayeyaendekeza.
Anajua muda huo upo na Mumeo ndio anapiga, halafu story nyiiiingi...aaaaarrrrrghhhhh!!!! Hata mimi ningekuwa mumeo ningechukia sana!
Mimi sipendi kuchezeana akili...yani mtu mmeshaachana bado anakusumbua tena mwingine makusudi kuona kama bado unamfeel au utachanyikiwa vipi!!
Salamu mara moja moja siyo mbaya...
...BJ umeandika la maana sana, kweli ni makusudi tu anakupima una mfeel/ utachanganyikiwa vipi. It is not fair at all!
Tatizo, wengi wetu tunadhani tunatumia utu/ubinadamu kuwasikiza shida zao, kumbe nia zao ni za kishetani zaidi!
Kuna wale ambao kwa kujua hawezi kubomoa ukuta ulojijengea asikuchanganye akili, hutumia ndugu/marafiki wa karibu
kuwapa habari za "majanga yake ya uongo na kweli" ili nawe upate habari indirectly au hata ulaumiwe na hao jamaa zako kwamba huna huruma kwa Ex-wako. Usanii kwa kwenda mbele. Inaudhi sana.