Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,197
- 3,930
sio kutuhumiwa. Jamaa aliwauwa kweli
Lakini Mahakama haikumkuta na hatia!!!! duu, Bongo bwana ukiwa SOMEBODY sheria inakuruhusu kufanya upendavyo!!!
sio kutuhumiwa. Jamaa aliwauwa kweli
ukatwe wote liwe eneo la wazi.
yani akabidhiwe shimbo?atatumaliza wote killer huyuUkabidhiwe jwtz.
serekali ikawekeze huko na kuufanya mji mdogo na kujenga uwanja mkubwa wa mpira.
wananchi wenye hsr tuuchome moto
Iwe sehemu ya kuwanyongea watawala waliokula rushwa baada ya kukutwa na hatia mahakamani.
wananchi wenye hsr tuuchome moto