Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 17,205
- 55,397
Hivyo ni vingi sana! Vikifumuliwa hapa dunia yote mdomo wazi! Sasa hapo sijui tuseme ni mimi na Mungu wangu ndio wasiri?Hivi hujawahi kujisimulia kitu mwenyewe!? ๐
Aah vijana wetu wakikurupuka huko walikosoma sentence moja wanakuja wanasema wamefanya utafiti wa kina hakuna uchawiMbona Mshana Jr, kuna uzi humu unahoji kama Ulozi upo au ni myths tu kwa nini huwasaidii vijana kuelewa! Nimeshangaa mpaka Msukuma mmoja naye anasema ni mambo ya kufikrika!
Mtoto jasiri yule! Jaribu bahati yako! Makurumbembe yatakuanika mchana kweupee๐Nataka nijilipue mwaka huu nikajaribu la Depal kawe Kasiri kangu sijui kataweza!
Wananunua shingapi nijaribu kwanza.. na kwanini nikuuze mkuu๐
Thread 'Hivi, huwa ukiongea peke yako unaongea na nani?' Hivi, huwa ukiongea peke yako unaongea na nani?Hivyo ni vingi sana! Vikifumuliwa hapa dunia yote mdomo wazi! Sasa hapo sijui tuseme ni mimi na Mungu wangu ndio wasiri?
Katika watu nilotakiwa niwauze ni min maana namjua ndani nje! Ila nimeufyata!๐