Msiotumia pombe, mnapotezea wapi muda?

Msiotumia pombe, mnapotezea wapi muda?

Kama Kijiwe cha JF hakikutoshi basi jitafakari utakuwa na shida sehemu.

70% ya Watanzania ni wachawi tu, ni Bora hata marafiki wa online kuliko hivyo vijiwe vyenu ni wachawi kamili waliokosa vitendea kazi Tu.
Kama unaamini marafiki wa online kuliko mtaani, basi wewe ndie una shida zaidi.
 
Maskani kwa wanangu wauza maduka wana madini sana.
 
Kwa miaka mingi, bar ndio imekua sehemu yangu ya kupotezea muda pale ambapo hakuna mpira, sijisomei n.k! Kwa miezi kadhaa niliamua kuacha pombe, nikajikuta nikiwa free kuua muda, nikawa naenda kwenye kahawa. Jana ndio niliamua sintokanyaga tena kijiweni, mada zisizo na maana!

Nyakati ambazo unaamka, huna cha kufanya. Msiotumia pombe, je mnapotezea wapi muda?
kwenye kahawa na kashata
 
Kwa miaka mingi, bar ndio imekua sehemu yangu ya kupotezea muda pale ambapo hakuna mpira, sijisomei n.k! Kwa miezi kadhaa niliamua kuacha pombe, nikajikuta nikiwa free kuua muda, nikawa naenda kwenye kahawa. Jana ndio niliamua sintokanyaga tena kijiweni, mada zisizo na maana!

Nyakati ambazo unaamka, huna cha kufanya. Msiotumia pombe, je mnapotezea wapi muda?
Niliishawahi kuleta uzi kuhusu vijiwe vya kahawa kuwa sehemu hatari kukaa eti unajumuika kupoteza muda! Wengi wa magwiji wa pale ni wachawi, waganga, na wasoma nyota! Ukienda pale ukiwa mgeni ujue usiku wanakutumia kujaribisha silaha zao za kichawi! Epuka sana vijiwe vya kahawa
 
Kwa miaka mingi, bar ndio imekua sehemu yangu ya kupotezea muda pale ambapo hakuna mpira, sijisomei n.k! Kwa miezi kadhaa niliamua kuacha pombe, nikajikuta nikiwa free kuua muda, nikawa naenda kwenye kahawa. Jana ndio niliamua sintokanyaga tena kijiweni, mada zisizo na maana!

Nyakati ambazo unaamka, huna cha kufanya. Msiotumia pombe, je mnapotezea wapi muda?
Ntarud kujifunza kitu hapa.....
 
Nimekuelewa mkuu. Hapa key word ni ''kupoteza muda'' au ''killing time'' kama wanavyosema waingereza. Kwangu mimi kupoteza muda ni ku-engage kwenye activities ili muda uende, hasa hasa mtu anapokuwa yupo free na anataka muda uende kwa haraka(kwa sababu kukaa bila ya kufanya kitu mtu anaboreka). Ukichukulia neno ''kupoteza muda'' kama ni kukaa bila kufanya chochote, sidhani kama ni sahihi kwa sababu neno linatumika kama ''idiomatic expression'' yaani maneno yake hayamaanishi tendo linalotendeka. Kwa mfano ''kutafuta kipande cha mkate''. Hii inamaanisha kutafuta kipato na siyo mkate wenyewe.
Nilikomenti kama utani tu ila hata hivyo mimi nikitafakari kupoteza muda ni kufanya jambo ambalo halina maana. Mfano mtu anasema kufanya mazoezi, kujisoma kama shughuli za kupotezea muda ilhali mimi najua mambo hayo yanapaswa kuwemo kwenye ratiba zako maana ni muhimu
 
Back
Top Bottom