1. MazoeziKwa miaka mingi, bar ndio imekua sehemu yangu ya kupotezea muda pale ambapo hakuna mpira, sijisomei n.k! Kwa miezi kadhaa niliamua kuacha pombe, nikajikuta nikiwa free kuua muda, nikawa naenda kwenye kahawa. Jana ndio niliamua sintokanyaga tena kijiweni, mada zisizo na maana!
Nyakati ambazo unaamka, huna cha kufanya. Msiotumia pombe, je mnapotezea wapi muda?
Hivi draft ni kipaji au mtu anajifunza??Mi mda naokua free napotezea kwenye Draft, jifunze kusukuma kete mkuu, hata kushuhudia watu wakicheza pia ni burudani na kusogeza mda, tafuta kijiwe kilichochangamka na wajuvi wa mchezo
Kama Kijiwe cha JF hakikutoshi basi jitafakari utakuwa na shida sehemu.Kwa miaka mingi, bar ndio imekua sehemu yangu ya kupotezea muda pale ambapo hakuna mpira, sijisomei n.k! Kwa miezi kadhaa niliamua kuacha pombe, nikajikuta nikiwa free kuua muda, nikawa naenda kwenye kahawa. Jana ndio niliamua sintokanyaga tena kijiweni, mada zisizo na maana!
Nyakati ambazo unaamka, huna cha kufanya. Msiotumia pombe, je mnapotezea wapi muda?
Hizi Ibada ndio zitakunya ufe na figo nzima na maini mazima?Huo muda unaoutumia kuua figo na ini , kula nyama mbichi zilizobanikwa jikoni na kununua ukimwi bei raisi kwa MAGUMEGUME yanayopatikana bar yanayotumia madawa ya kunenepesha mwili, sisi tunatumia kufanya ibada, kuwa karibu na familia na kufanya mazoezi
Mkuu haya mambo unayoyafanya sio kupoteza muda1. Mazoezi
2. Kusoma na kujifunza maarifa mapya
3. Kucheza na watoto au kuwafundisha
4. Kupika na kujifunza mapishi ya aina mbali mbali.
5. Kuwa na bustani ya mbogamboga au maua
6. Kuangalia movies, documentaries ukiwa na watoto
7. Kufanya usafi wa nyumba na maeneo yanayozunguka.
Kumbe watu mna muda wa kupoteza na hatuambiani
Hii kitu huwa sielewi, inakuwaje mtu anakuwa na muda wa kuchezea hadi anauliza cha kuufanyia?Tunaingiza pesa kwenye mitkasi zetu ili vizazi vyetu vije kutawala vizazi vya wavivu baadaye...
Halafu hakuna cha maana pale zaidi ya kujadili mpira tuMada za vijiwe vya kahawa na bangi Kila mtu anataka asikilizwe yeye hata kama hana uhakika na anachokisema. Ni Bora ninywe zangu kawa nyumbani na kuvuta bangi yangu chooni
Mpira na stori za uwongo za wachawi.Halafu hakuna cha maana pale zaidi ya kujadili mpira tu
Hii kitu huwa sielewi, inakuwaje mtu anakuwa na muda wa kuchezea hadi anauliza cha kuufanyia?
Huwa ninaforce tu kukomenti JF, muda huwa hauniruhusu kabisa.