Kongosho kaniweka kinyumba jamani na ana wivu mpaka wa keyboard!
Unadhani umeongea?
Bado hujasema ! Na bado , Utatoa siri zako zote !
Kufilisika mchezo, nakuoneaje "uluma"
so far umewekwa kihaus na Konnie unalishwa!
Unaveshwa, na matumbuzi mengine juu ya anaekuelea !
Pole wee BEPARI USED !
Unadhani umeongea?
Bado hujasema ! Na bado , Utatoa siri zako zote !
Kufilisika mchezo, nakuoneaje "uluma"
so far umewekwa kihaus na Konnie unalishwa!
Unaveshwa, na matumbuzi mengine juu ya anaekuelea !
Pole wee BEPARI USED !
Mkuu Judgment kama tulikuwa na mawazo sawa hebu some post yangu hapo Nicas Mtei habari zako bana
nasikia ulipigwa na mwiko wa kusongea ugali mpaka leo una nundu kichwani na ukasingizia boda boda
Mkuu Judgment kama tulikuwa na mawazo sawa hebu some post yangu hapo Nicas Mtei habari zako bana
nasikia ulipigwa na mwiko wa kusongea ugali mpaka leo una nundu kichwani na ukasingizia boda boda
Judgment bepari la kihaya ni la kuhurumiaNimekusoma Mr Rocky !
Hayu jamaa kushney , mi nadhani iko haja kumfanyia fund rise !
Ni bakuli tu ndiyo litamrudisha road
Mtei kulikoni tena unagugumia ?
Nway ukisikia kelele gizani ulipotoka kumwaga maji ya ukoko jua ......
Mr Rocky uwe unaangalia gizani .
Mtei kulikoni tena unagugumia ?
Nway ukisikia kelele gizani ulipotoka kumwaga maji ya ukoko jua ......
Mr Rocky uwe unaangalia gizani .
Hahahahahaaaaaa Mr Rocky umenifanya nicheke hadharani aiseeMkuu Erickb52 yeye anajulikana ni mzee wa majungu na fitina aise
Ila yeye ndo alinidokezea kuwa kuwa ulipigwa na mwiko na ukasingizia boda boda
Na kuwa unalazwa mzungu wa reli mwezi karibu sasa
Pole sana mkuu
Judgment bepari la kihaya ni la kuhurumia
Usije kuta hata hapa kashanyang'anywa hata simu aliyokuwa anatumia
anatakiwa kuombewa huruma na bakuli la mchango lipite aise
Nicas Mtei mimi nimesema taratibu bana sijapiga kelelehaujaona Mr Rocky anatoa siri? Namwambia asiwe ananipga
Mkuu Erickb52 yeye anajulikana ni mzee wa majungu na fitina aise
Ila yeye ndo alinidokezea kuwa kuwa ulipigwa na mwiko na ukasingizia boda boda
Na kuwa unalazwa mzungu wa reli mwezi karibu sasa
Pole sana mkuu
Judgment bepari la kihaya ni la kuhurumia
Usije kuta hata hapa kashanyang'anywa hata simu aliyokuwa anatumia
anatakiwa kuombewa huruma na bakuli la mchango lipite aise
Erickb52 habari yako iya ndani banaHahahahahaaaaaa Mr Rocky umenifanya nicheke hadharani aisee