Prince Dos Santos
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 1,047
- 1,319
Hujui lolote wewe , hakuna unyama mbaya kama ujamaa sasa kama ujui , fuatilia nchi za kijamaa uone raia wake wanavyosuffer na viongozi wanaishi kwa rahaView attachment 958583
Wanataka Bei ya vitu iwe ile ile miaka nenda rudi - sukari, chumvi, mafuta vyote visibadilike bei hata kidogo (iwe kuakisi hali ya uchumi au vinginevyo)..
Wanataka kampuni zisife
Wanataka watu wasipoteze ajira
Wanataka benki zisifungwe kea kukosa mitaji
Wanataka Kila mtu awe nacho asiwepo aliyepungukiwa
Wanataka benki zifanye kazi tu; zikitakatisha fedha zisiulizwe
Ubepari ni Unyama! Maisha ya Ubepari ni magumu.. tumeona juzi Ufaransa na yameshaonekana Uingereza, Ujerumani na hapa Marekani... kweli kabisa katika ubepari wapo watu wanaotanua na kufanikiwa. Jambo moja ambalo watu wengi wamesahau kuwa msingi hasa wa ubepari ni unyonyaji wa mfanyakazi! Leo watu wanalalamikia mafao, wengine wanalalamikia hali ngumu ya kazi, wakati huo huo wanaambiwa "uchumi unakua" na hawaelewi inawezekanaje? Well.. katika ubepari uchumi na unakua kwa kupunguza maslahi ya mfanyakazi! Ndio asili hasa ya ubepari. Wale ambao walipitia somo la Political Economy pale Sangu kwa ndugu yangu Mwl. Mwambene watakumbuka vizuri sana hili..
Njia pekee ya kuondokana na unyonyaji ilipendekezwa na kina Max, Lenin, na ikaja kuwa modified na kuelezewa vizuri zaidi na Mwalimu Nyerere... ukikubali ubepari na maua yake ya mafanikio, ubunifu, utajiri n.k ni lazima ukubali pia na miiba yake...
NA KUACHA AKILI ZA KIJAMAATujifunze kuishi katika ubepari
Uondo wa ngoma uingie ucheze,ungekuwa TZ tungeimba wimbo mmoja ila hupo kwa Trump ndio maana unaona sawa tu.Uchumi ulishaharibika ila ulikuwa unakwenda tu..utakaposahihishwa vizuri na kuanza kujiendesha mtasahau yote haya na tumshukuru Mungu
Kwanza punguza hasira na uwe una Edit kabla ya kupostMkuu unatokwa na povu bure.Kwanza tukubaliane kitu kimoja ambacho nadhani ni msingi was haya tuyaonayo Leo.
Mwaka was 2015, Watanzania wengi,Kama Sio wore walitaka MABADILIKO.
Kwa Nini walitaka Sana hayo MABADILIKO? No kwa sababu serikali haikujali Sana waenfeleo ya watu,BALI kina mwenye nafasi ALITUMIA hiyo nafasi KUJIENDRZA yeye na watu WANAOMZUNGUKA.
Matokeo ya hayo,ilikuwa ni rahisi,kwa mwenye fedha kwenda kupora ardhi ya Kijiji kwa kuhonga mwenyekiti na kamati yake kwa kutengeneza muktasari was uongo kwamba wanakijiji wameridhia bepari apewe atdhi yote ya Kijiji.
Bajeti ya serikali haikufanya jazi qliyokusudiwa,watu waligawana fedha za serikali bila huruma.Kumbuka mkuu hayo yalipokuwa yanatendeka tulikuja tunalalama kwamba serikali ni legelege,haichukui maamuzi mugunu,mkuu was nchi badala ya kutatua matatizo yaliyopo yeye anasafiri Sana,
Ndipo ikaja dhana ya MABADILIKO ili tais ajae asiwe Kama rais aliyemaliza muda wake.
Akaja huyu ambaye naamini WOTE YUNAKUBALINA Yu tofauti na mtangulizi wake Kama tulivyotaka .Kwa Mara ya Kwanza katija historians ya nchi hii,vituo vya afya na hospitality za wilaya zinazojengwa ki ukweli haijaeahi kutokea.
MABIDILIKO NI MABADILIKO maana Pana ni kutoka kwenye mfumo zoelefu kwenda kwenye mfumo fikirishi Hivyo ndani ya MABADILIKO Kuna mabonde ,vilima,mito,jua mvua vyote vikitakiwa kutatuliwa ili kuifikia neema ya kweli na ya wore
Sisi WATANZANIA asili yetu ni UVIVU,TANATAKA kupata fedha nyingi BILA kufanya KAZI,Mwizi ATAITATWA MJANJA
Leo hii maelefu kwa maelfu ya vijana wanateketezq mabilioni kwa Sio matrilioni kwenye kuchezq kamari na kubeti,YOTE NI katika UVIVU was kufanya KAZI na kutaka FEDHA bila kufanya kazi
Rai tubadilike Kama tulivyoomva nwaka 2015,tufanye kazi,kazi ndio msingi was Kila kitu duniani CHO CHOTE UNACHOTAKA binadamu utakipata kwa kufanya kazi na kumuom ba MUNGU akufikishe kwenye azima yako.
Kukaa na kuangalia tu utaishia kwenye majungu.
MMEM hiyoUlitaka kuandika nini hapa
Hapo tumepishana. Membe ni tatizo la CCM wala si manufaa ya wapinzani.Wanamtaka Membe 2020
Sidhani kama china wameiba fedha za mafao za wafanyakazi waoUnafikiria China hawafungi benki zinazojiendesha kwa hasara au kwa matatizo? China ina jaribu kutengeneza ubepari kwenye ujamaa.. na inaonekana kushindwa.. Bila nguvu za jeshi na polisi China isingekuwa China..
Kama unachosema ni kweli au ni sanaa za kisiasa tutafahamu huko mbeleni inshaaallah.Uchumi ulishaharibika ila ulikuwa unakwenda tu..utakaposahihishwa vizuri na kuanza kujiendesha mtasahau yote haya na tumshukuru Mungu
Halafu nimegundua mijitu MINAFIKI inapenda sana kumtaja taja MUNGU.Mnafiki tu.
Hizi fikra za utegemezi pamoja na kupata elimu ili tujikwamue naona zimekataa kabisa kutuondoka sisi watanzania, yaani kila kitu tunailaumu serikali na kutegemea itufanyie kila jambo.WACHINA HUZISAIDIA BENKI ZAO KUIMARIKA NI ZILE AMBAZO HAZIWEZI KUJIIMARISHA NDIO ZINAFUNGWA!!! SISI HAPA HATUZIPI NAFASI BENKI ZETU HASA ZA WAZAWA NAFASI YA KUWEZA KUJIIMARISHA HATA PALE WANATOA MPANGO WAO WA KUWEZA KUJIIMARISHA!!
Umeulizwa, Tanzania inafuata mfumo upi?Kinachoitwa "free market economy" ndio ubepari wenyewe huo
Unaonesha gross misunderstanding of my points..Nakwambia huyu mtu kufikiri na kuchanganua mabo kuko at its lowest levle, hafikiri kabisa na kufanya logical resoning. Unakaa kwa wanyama? Yaani huyu mtu alikuwa na akili, kuingia muuaji ya kabila lao yamebadilika! Ubepari ni unyama lakini wote mnakimbilia huko. Unangagania kukaa huko kwa wanyama? Mexico inajengewa ukuta kuwazuia malaika wasiende kwa wanyama? Wanyama mnawategemea bajeti yenu kwa 60%.?
Sijui safari hi watazungusha Nini...Wanamtaka Membe 2020
Never as long as umewaita wanyama, nimekuelewa! Nitakuja kwako baadaye tujadili maana i like those who can discuss issues in the right perspective!Unaonesha gross misunderstanding of my points..