Msimlaumu Sana Magufuli - Ubepari Ni Unyama Msisahau

View attachment 958583

Wanataka Bei ya vitu iwe ile ile miaka nenda rudi - sukari, chumvi, mafuta vyote visibadilike bei hata kidogo (iwe kuakisi hali ya uchumi au vinginevyo)..
Wanataka kampuni zisife
Wanataka watu wasipoteze ajira
Wanataka benki zisifungwe kea kukosa mitaji
Wanataka Kila mtu awe nacho asiwepo aliyepungukiwa
Wanataka benki zifanye kazi tu; zikitakatisha fedha zisiulizwe


Ubepari ni Unyama! Maisha ya Ubepari ni magumu.. tumeona juzi Ufaransa na yameshaonekana Uingereza, Ujerumani na hapa Marekani... kweli kabisa katika ubepari wapo watu wanaotanua na kufanikiwa. Jambo moja ambalo watu wengi wamesahau kuwa msingi hasa wa ubepari ni unyonyaji wa mfanyakazi! Leo watu wanalalamikia mafao, wengine wanalalamikia hali ngumu ya kazi, wakati huo huo wanaambiwa "uchumi unakua" na hawaelewi inawezekanaje? Well.. katika ubepari uchumi na unakua kwa kupunguza maslahi ya mfanyakazi! Ndio asili hasa ya ubepari. Wale ambao walipitia somo la Political Economy pale Sangu kwa ndugu yangu Mwl. Mwambene watakumbuka vizuri sana hili..

Njia pekee ya kuondokana na unyonyaji ilipendekezwa na kina Max, Lenin, na ikaja kuwa modified na kuelezewa vizuri zaidi na Mwalimu Nyerere... ukikubali ubepari na maua yake ya mafanikio, ubunifu, utajiri n.k ni lazima ukubali pia na miiba yake...
Hujui lolote wewe , hakuna unyama mbaya kama ujamaa sasa kama ujui , fuatilia nchi za kijamaa uone raia wake wanavyosuffer na viongozi wanaishi kwa raha
 
Mkuu unatokwa na povu bure.Kwanza tukubaliane kitu kimoja ambacho nadhani ni msingi was haya tuyaonayo Leo.
Mwaka was 2015, Watanzania wengi,Kama Sio wore walitaka MABADILIKO.
Kwa Nini walitaka Sana hayo MABADILIKO? No kwa sababu serikali haikujali Sana waenfeleo ya watu,BALI kina mwenye nafasi ALITUMIA hiyo nafasi KUJIENDRZA yeye na watu WANAOMZUNGUKA.
Matokeo ya hayo,ilikuwa ni rahisi,kwa mwenye fedha kwenda kupora ardhi ya Kijiji kwa kuhonga mwenyekiti na kamati yake kwa kutengeneza muktasari was uongo kwamba wanakijiji wameridhia bepari apewe atdhi yote ya Kijiji.
Bajeti ya serikali haikufanya jazi qliyokusudiwa,watu waligawana fedha za serikali bila huruma.Kumbuka mkuu hayo yalipokuwa yanatendeka tulikuja tunalalama kwamba serikali ni legelege,haichukui maamuzi mugunu,mkuu was nchi badala ya kutatua matatizo yaliyopo yeye anasafiri Sana,
Ndipo ikaja dhana ya MABADILIKO ili tais ajae asiwe Kama rais aliyemaliza muda wake.
Akaja huyu ambaye naamini WOTE YUNAKUBALINA Yu tofauti na mtangulizi wake Kama tulivyotaka .Kwa Mara ya Kwanza katija historians ya nchi hii,vituo vya afya na hospitality za wilaya zinazojengwa ki ukweli haijaeahi kutokea.
MABIDILIKO NI MABADILIKO maana Pana ni kutoka kwenye mfumo zoelefu kwenda kwenye mfumo fikirishi Hivyo ndani ya MABADILIKO Kuna mabonde ,vilima,mito,jua mvua vyote vikitakiwa kutatuliwa ili kuifikia neema ya kweli na ya wore
Sisi WATANZANIA asili yetu ni UVIVU,TANATAKA kupata fedha nyingi BILA kufanya KAZI,Mwizi ATAITATWA MJANJA
Leo hii maelefu kwa maelfu ya vijana wanateketezq mabilioni kwa Sio matrilioni kwenye kuchezq kamari na kubeti,YOTE NI katika UVIVU was kufanya KAZI na kutaka FEDHA bila kufanya kazi
Rai tubadilike Kama tulivyoomva nwaka 2015,tufanye kazi,kazi ndio msingi was Kila kitu duniani CHO CHOTE UNACHOTAKA binadamu utakipata kwa kufanya kazi na kumuom ba MUNGU akufikishe kwenye azima yako.
Kukaa na kuangalia tu utaishia kwenye majungu.
Kwanza punguza hasira na uwe una Edit kabla ya kupost

Huyu bwana mabadiliko kama ulivyomuita. Ni kweli awamu ya nne ilikuwa na mapungufu yake, lakini angalau watu waliwekewa mazingira bora kidogo ya kufanya kazi. Angalau masikini nao walikuwa wanapata harufu ya michuzi. Siyo hii hali iliyowakumba wafugaji, wavuvi , wafanyakazi etc maeneo mbalimbali. Hebu tembelea kada hizo tatu nilizokutajia, uone kama kuna mtu ana hamu na awamu ya tano. Wamefilisiwa kwa kunadiwa vitu vyao bila kuhukumiwa kisheria bali kwa matamko.
Sasa kama unajenga nchi kwa kuvuruga uchumi wa wananchi wenyewe si ni kupiga marktime hapo ?!.

Pili 2015 watu hawakuwahi kupendekeza u dictator, Bali walitaka katiba mpya, democracy zaidi, na Tanzania bora kwa watu wote.
 
Unafikiria China hawafungi benki zinazojiendesha kwa hasara au kwa matatizo? China ina jaribu kutengeneza ubepari kwenye ujamaa.. na inaonekana kushindwa.. Bila nguvu za jeshi na polisi China isingekuwa China..
Sidhani kama china wameiba fedha za mafao za wafanyakazi wao
 
Mzee Mwanakijiji..

Ni kosa kupora mafao

FAO LA kujitoa

Mafao ya Wazee

Wabunge na Vigogo wanapewa 100% ..

Ujamaa gani huu? Shame to them

Hata mabepari hayawezi kufanya wizi huu mchana kweupe

Wafanyakazi watakosa morali...watakata tamaa..

Kodi atapata wapi, kama uzalishaji ukipungua...
 
Uchumi ulishaharibika ila ulikuwa unakwenda tu..utakaposahihishwa vizuri na kuanza kujiendesha mtasahau yote haya na tumshukuru Mungu
Kama unachosema ni kweli au ni sanaa za kisiasa tutafahamu huko mbeleni inshaaallah.
 
WACHINA HUZISAIDIA BENKI ZAO KUIMARIKA NI ZILE AMBAZO HAZIWEZI KUJIIMARISHA NDIO ZINAFUNGWA!!! SISI HAPA HATUZIPI NAFASI BENKI ZETU HASA ZA WAZAWA NAFASI YA KUWEZA KUJIIMARISHA HATA PALE WANATOA MPANGO WAO WA KUWEZA KUJIIMARISHA!!
Hizi fikra za utegemezi pamoja na kupata elimu ili tujikwamue naona zimekataa kabisa kutuondoka sisi watanzania, yaani kila kitu tunailaumu serikali na kutegemea itufanyie kila jambo.
 
Kuna neno Petty capitalism. Hao ndiyo wale wanatumia mabenki kutakatisha pesa na wahongaji kupata tenda na wakwepa kodi na wanaopewa dili kindugu nk. Watu wanafikiri huu ndiyo ubepari. Na mtoa mada anafikiri huo ndiyo ubepari.

Kiufupi ujamaa ni mfumo nyonyaji kuliko ubepari.
 
Mzee Mwanakijiji ni kweli kabisa,upepari ni unyama.Watu wakisikia Marekani na Ulaya wanadhani all is well.Kwenye ubepari uliokolea kama Marekani na Uingereza picha iko wazi.Check the following clip,you cannot believe this is happening in a country which boasts itself of being the most developed.


 
Nakwambia huyu mtu kufikiri na kuchanganua mabo kuko at its lowest levle, hafikiri kabisa na kufanya logical resoning. Unakaa kwa wanyama? Yaani huyu mtu alikuwa na akili, kuingia muuaji ya kabila lao yamebadilika! Ubepari ni unyama lakini wote mnakimbilia huko. Unangagania kukaa huko kwa wanyama? Mexico inajengewa ukuta kuwazuia malaika wasiende kwa wanyama? Wanyama mnawategemea bajeti yenu kwa 60%.?
Unaonesha gross misunderstanding of my points..
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom