Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,881
- 941
Let me put it bluntly, Mwananikiji is simply an hypocrite. Anaushangilia ujamaa wakati yeye na familia yake wananufaika na ubepari. Ni kweli kuwa hakuna mfumo ulio perfect hapa duniani ila ubepari una unafuu mara mia dhidi ya ujamaa.
Mfumo wa ubepari umejikita kwenye uhalisia wakati ujamaa uko zaidi kwenye hisia. Na mbaya zaidi sehemu zote ambapo ujamaa umejaribiwa 100% nchi hizo zimejikuta kwenye matatizo makubwa. Angalia taifa la Venezuela kabla na baada ya Chavez ku-embrace ujamaa. Sababu kubwa ni kuwa serikali nyingi hapa duniani haziko effective kutokana na kukosekana kwa ushindani wa biashara (monopoly). Kitu hiki kinapelelekea huduma nyingi zinazoletewa na serikali kuwa chini ya kiwango ukifananisha kama za sekta binafsi. Ndio maana Rais Regan aliwahi kuwaasa Wamarekani kuwa "serikali sio suluhu ya matatizo yao kwani serikali yenyewe ni tatizo."
Mfumo wa ubepari umejikita kwenye uhalisia wakati ujamaa uko zaidi kwenye hisia. Na mbaya zaidi sehemu zote ambapo ujamaa umejaribiwa 100% nchi hizo zimejikuta kwenye matatizo makubwa. Angalia taifa la Venezuela kabla na baada ya Chavez ku-embrace ujamaa. Sababu kubwa ni kuwa serikali nyingi hapa duniani haziko effective kutokana na kukosekana kwa ushindani wa biashara (monopoly). Kitu hiki kinapelelekea huduma nyingi zinazoletewa na serikali kuwa chini ya kiwango ukifananisha kama za sekta binafsi. Ndio maana Rais Regan aliwahi kuwaasa Wamarekani kuwa "serikali sio suluhu ya matatizo yao kwani serikali yenyewe ni tatizo."