zomba mshauri Zitto achukue fomu kama anataka kugombea na sababu zote ulizozitoa siyo sifaya kuwa mgombea Uraisi kwa sababu wengi wanazo........................we are looking for someone uniquely wise and free of official graft and Zitto's habds are full of filthy gunk.............................sijui nikumbushie barrick alikata ngapi pale..............sijui Tanesco kwenye Dowans alikatiwa ngapi...............the list is endless.................hakuna atakayempa bwana mdogo ugali na ikifikia huko bora wanamagamba waendelee tu kutesa........theyr are the devils we know............at least...........
Yaani magamba watu wa ajabu sana. Mnataka mtuchagulie candidate wetu 2015 huku ninyi mkiwa magamba. Amazing.Hatumgusi kwa kuwa tunaogopa kulisahau jina la CCM tulimwambia ang'atuke tu. Zitto for President 2015!
Wewe zomba wewe unataka kumwaga damu! Urais ndani ya CDM kwa sasa ni taboo kuusema. CDM wana kauli yao kuwa hata ukiweka jiwe dhidi ya CCM basi CDM itashinda! Hivyo kila mtu anadhani akiwekwa na CDM kwenye kugombea urais atashinda. Kila mtu anautolea macho urais huko CDM.
Mwanzisha mada umekurupuka kwani hata katiba haimruhusu zito kugombea urais kutokana na umri wake, iweje ukurupuke na kudai atapata kura yeye kama yeye na siyo cdm wakati qualification zake hazimruhusu?
Sisi tunatanguliza nchi yetu mbele sio mtu au chama mana vyote hivyo vinapita...cdm sio Zitto ni Taasisi ipo na itakuepo bila Zitto wala wengine wengi...kwani hata sasaiv kazi inafanyika huko kusini Zitto yupo huko?!! wewe vipi bana tafta chakula ule..njaa itakuua...
Haya mambo hayo, vitisho vya kitoto na mbio za uraisi 2015. Mbona hujasema CHADEMA wataumiaje?
Huwezi ku conclude kuwa zito anakubalika nchi nzima kwa reference ya uchaguzi wa kigoma! Ulishaweka mlinganyo wa slaa na zito jinsi wanavyokubalika countrywide? Zito ni jembe la ukweli chadema lakini chadema sio zito! Chadema ni wananchi! Ni wangapi wamehama vyama vyao kuja chadema kwa sababu ya zitto? Mapenzi yako kwa zito yasiwe conclusion ya hisia na mitazamo ya watu! Nenda kwa takwimu!
Hapo kwenye red, wewe na nani? Sasa naona umetumwa, kuna chama kipya kimeanzishwa kinaitwa ADC mshauri zito aende huko mkampee kura zenu. Ama kama hilo litakuwa gumu mshauri asimame kama mgombea binafsi kama katiba itakuwa imepitishwa. Huku CDM asahau kusimama kama mgombea wa urais, hatutakubali hilo litokee, tunahitaji kamanda mpambanaji zaidi bishoo. Pamoja na mtu sisi tunachagua Chadema. Zitto ni mbinafsi na mpenda sifa, ni mroho wa madaraka. Baba wa taifa alitushauri kuwa ukiona mtu anakimbilia Ikilu huyo ni wa kuogopwa kama ukoma. Angekuwa na busara walau kidogo angeacha watu wampeleke kuliko yeye kukimbilia. Angengojea kama Dr Slaa mwaka 2010, sio kujikimbiza kimbiza.
Hapana Zitto anafaa kuendelea kuwa mbunge tu labda huko baadaye akikuwa. Mara natakuwa mwenyekiti wa chama, mara nataka kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, mara nataka kuwa rais; who are you? kusema hivyo si kwamba napuuzia mchango wake katika siasa za mageuzi nchini mwetu, lakini ana kiherehere mno.
Ushauri wa bure.
Yaani magamba watu wa ajabu sana. Mnataka mtuchagulie candidate wetu 2015 huku ninyi mkiwa magamba. Amazing.
Chadema ni chama makini. Kitachagua mgombea makini wakati utakapofika 2015.
Kuna taratibu za kupata mgombea wa CDM 2015 hayo tuwaachie CDM ingawa ushauri wako kama wameuona utazingatiwa.
Ila I can see Dr Slaa as the president and Zitto as the Minister for Finance
Mkuu Zomba, nimekufuatilia tangu mwanzo.
Nakupongeza kwa kuwa mjasiri katika kujenga hoja bila jazba na kuzisimamia bila kutumia lugha ya kejeli.
Wengi wanaokujibu hawajatambua kuwa hapa umeweka kipima joto, na mpaka sasa kuna mafanikio makubwa ya kusoma hali ilivyo kwa suala unalozungumzia.