Msimjaribu Zitto, mtaumia!


Mimi si wa kumshauri Zitto achukuwe form, hiyo ni juu ya chadema na yeye mwenyewe.

Hivi kama kweli ana madudu yote hayo usemayo, bado mnamwacha tu? siamini mpaka uniwekee ushahidi wa kutosha na si kauli za humu kijiweni. Au ndio nikubali kuwa magamba ya ufisadi yanayojivuwa CCM yanadondokea chadema? Kwetu kuna operation vua gamba, kwenu kuna operation vua gamba vaa gwanda, sasa nimeelewa maana yake.
 
Hatumgusi kwa kuwa tunaogopa kulisahau jina la CCM tulimwambia ang'atuke tu. Zitto for President 2015!
Yaani magamba watu wa ajabu sana. Mnataka mtuchagulie candidate wetu 2015 huku ninyi mkiwa magamba. Amazing.
Chadema ni chama makini. Kitachagua mgombea makini wakati utakapofika 2015.
 

Kama ni taboo si mimi niliyovunja miiko, ni Zitto mwenyewe mwana chadema wa kutegemewa: soma zaidi:

SIKU moja baada ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema) Zitto Kabwe kutangaza nia ya kugombea urais mwaka 2015, kauli hiyo ...
 
Mwanzisha mada umekurupuka kwani hata katiba haimruhusu zito kugombea urais kutokana na umri wake, iweje ukurupuke na kudai atapata kura yeye kama yeye na siyo cdm wakati qualification zake hazimruhusu?

Hujui kuwa katiba ipo katika mchakato wa kuandikwa upya? isitoshe, katiba si msahafu kuwa haiwezi kurekebishwa. Na yeye ameshatangaza nia au hajui kuhusu katiba? Soma hapa.
 

CCJ kilikuwa chama vilevile, kiko wapi? hata TANU na Afro Shirazi Party vilikuwa vyama, viko wapi? taasisi huanzishwa na watu, ikiwa watu wanaovianzisha wanakufa itakuwa vyama? fikiri!
 
Haya mambo hayo, vitisho vya kitoto na mbio za uraisi 2015. Mbona hujasema CHADEMA wataumiaje?

Katika wengi waliochangia, wewe umekuja na swali linalohusika na mada, nakupongeza kwa hilo. Wengi wanakuja na jazba.

Chadema wataumia kwa kuwa Zitto ana wafuasi wengi sana, kumbuka Zitto aliwafunguwa macho vijana na wakasema, kumbe inawezekana. Mtapoteza kiti chake cha ubunge. Mtapoteza na wafuasi wake wengi ndani ya chadema. Isitoshe, ana siri nyingi za chadema azijuazo, mko tayari zianikwe?
 
Kuna taratibu za kupata mgombea wa CDM 2015 hayo tuwaachie CDM ingawa ushauri wako kama wameuona utazingatiwa.
Ila I can see Dr Slaa as the president and Zitto as the Minister for Finance
 
2015 wana UAMUSHO hamna pakutokea. CCM watamsimamisha mbuzi katoliki na
Chadema watamsimamisha mbuzi katoliki. CUF hata kama watamsimamisha mwana
mfalme wa SAUDI ARABIA hawapati kitu. So kazi mnayo mwaka huo.
 
A lot of confused people in Africa...kuanzia madereva daladala, wa vibajaj na hatimaye wale wazee wa kazi muhimu nao wameanza kuchanganyikiwa....2015 bado mbali sana. Tuyamalize haya tuliyonayo ili 2015 iwe na smooth ride
 

Unachosema nimekisoma na nimekuelewa, mimi binafsi namkubali Zitto, simkubali Slaa wala siikubali chadema.

Zitto katangaza nia ya kugombea Urais nami namuunga mkono na akigombea, mimi kura yangu anayo. Kila mtu na mawazo yake kuhusu siasa, sitazami anapendwa na nani ili nimkubali natazama yale ambayo nayaona mimi kuwa anayasimamia vyema kuliko mwingine kwa muono wangu.
 

Tupo wengi tu, soma post #211. Bado sijapata cheo hicho cha utumwa, mie najituma.

Si mimi wa kumshauri Zitto awe chama kipi. Si mimi niliyetangaza nia ya kugombea Urais ni Zitto mwenyewe, nami namuunga mkono na akigombea kura yangu anayo nikiwa hai na debe ntampigia, ikiwa hatafanya madudu kwani siasa ni mchezo mbaya na 2015 ni mbali, tumuombee uzima, afya njema na uchapa kazi wa ziada. Zitto for President 2015.
 
Yaani magamba watu wa ajabu sana. Mnataka mtuchagulie candidate wetu 2015 huku ninyi mkiwa magamba. Amazing.
Chadema ni chama makini. Kitachagua mgombea makini wakati utakapofika 2015.

Hapana, hatuwachagulii "candidate" wenu, mimi nafata kauli ya Zitto ya kuwa ametangaza nia ya kugombea Urais 2015 au hujui hilo? kama hujui jikumbushe kwa kusoma hapa.
 
Kuna taratibu za kupata mgombea wa CDM 2015 hayo tuwaachie CDM ingawa ushauri wako kama wameuona utazingatiwa.
Ila I can see Dr Slaa as the president and Zitto as the Minister for Finance

Mimi siujui utaratibu wenu wala sina haja ya kuujuwa, mimi nafata kauli ya Zitto ya kutangaza nia ya kugombea Urais 2015 nadhani na yeye pia anaujuwa utaratibu ndio maana akaamuwa kutangaza nia, kama umesahau jikumbushe hapa.
 
2015 wana UAMUSHO hamna pakutokea. CCM watamsimamisha mbuzi katoliki na
Chadema watamsimamisha mbuzi katoliki. CUF hata kama watamsimamisha mwana
mfalme wa SAUDI ARABIA hawapati kitu. So kazi mnayo mwaka huo.

Too low.
 
Mkuu Zomba, nimekufuatilia tangu mwanzo.

Nakupongeza kwa kuwa mjasiri katika kujenga hoja bila jazba na kuzisimamia bila kutumia lugha ya kejeli.

Wengi wanaokujibu hawajatambua kuwa hapa umeweka kipima joto, na mpaka sasa kuna mafanikio makubwa ya kusoma hali ilivyo kwa suala unalozungumzia.
 

Magamba yana tabia ya kujiona kuwa yanaelewa kuliko wengine wote Tanzania

Huu ni mfano tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…