Msimamo wetu sisi CHADEMA asilia

Msimamo wetu sisi CHADEMA asilia

Elisabela jambo moja huelewi kwa nini chadema asilia iliamua kumpigia kura Magufuli. Hivi huelewi kweli au ushabiki tuu. Unadhani kama chadema ikiendelea na watu hawahawa mafisadi waliotoka ccm mwaka 2020 hata harufu ya wabunge unaweza ikosa. Usidhani wananchi ni wajinga.
Kwa hiyo tulipigia Magufuli ili tupate fursa kwanza ya kunyooshana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ilikuwa haiwezekani tuachie mafisadi waende ikulu kirahisi hivi na kukataa maamuzi dhalimu ya kifisadi ya bwana Mbowe na group lake.

Kwanini unang'ang'ania CHADEMA unayosema imejaa mafisadi, si uende kwenye chama ambacho hakina mafisadi? Au mwambie Dr. wako aanzishe chama ili uwe na amani kama ZZK alivyofanya.
 
Babeli, chokochoko hazitakupeleka popote katika maisha. Kama vipi anzisha chama majina ni mengi tu chadema achana nayo. Kwanza ulimchagua magufuli sasa kinachokukimbiza ni nini baki ccm

Tulimchagua Magufuli kwa sababu chama chetu Chadema kilimsimamisha fisadi. Bado tunaipenda Chadema isiyo na mafisadi kwa sababu ndiyo mkombozi wa kweli wa Tanzania na ndiyo itakayoleta mabadiliko halisi sio yale ya kisanii aliyokuwa akiimba Lowasa.
 
Babeli, chokochoko hazitakupeleka popote katika maisha. Kama vipi anzisha chama majina ni mengi tu chadema achana nayo. Kwanza ulimchagua magufuli sasa kinachokukimbiza ni nini baki ccm

Chadema mmeshikwa pabaya na mamvi
 
Wadau na wanye mapenzi mema na chadema asilia. Tunawashukuru wote ambao waliamua bila unafiki kumpigia kura Dr Magufuli na hasa kwa kuzingatia ushauri wa Dr Slaa na Prof Lipumba. Allah awabariki makamanda hawa!
Kama tukivyokubaliana chadema asilia tunawataka viongozi wote waliopo sasa kujipima na kuachia madaraka ili chama kiundwe upya vinginevyo uchaguzi ujao utafika tukajikuta hatujapiga hatua yoyote.
Ujio wa Dr Slaa sasa utakuwa chachu ya mabadiliko ndani ya chadema. Tunategemea mafisadi tuliowapokea chadema wataondoka wakati wowote na kwenda walipotoka au kuanzisha chama chao. Baada ya hapo tutamwomba sasa Dr Slaa arudi kundini kuongoza jahazi jipya. Asalaam aleikhum

Umekubaliana na nani.wakati chadema ni chama ch a familia ya mbowe
 
Watu ambao hawana msimamo hawafai kabisa na hawana faida ktk jamii, anzishisheni chama chenu sio kulialia kila siku chadema asilia. Mnajiita cdm asilia wakati hamtaki kuwa wa asili
 
Babeli mi nakuona katika angle 2. Aidha hujakomaa kisiasa au una tabia za kichochezi. Kama hukukubaliana na chadema toka kampeni kwanini unataka kurudi sasa wakati vyama ni vingi na pia kwa msajili hakuna kikomo? Kwanini unang'ang'ana na chadema kama ulishawaona hawafai? Kiukweli unaudhi, tulia fanya yako achana na ya chadema

Ni kwa sababu hujui nguvu zetu kiasi gani zimeingizwa chadema. Labda wewe umejiunga juzi tuu. Haiwezekani baadhi yetu tukawa tumefanya biashara ya hasara wakati tulikuwa na malengo kadha wa kadha. Na uhuni wooote umefanywa na watu wachache tuu. Haiwezekani. Unajua tumesha changia kiasi gani mpaka kufika hapa? Kwa hiyo ukijenga hoja uwe unafikiria kwa mapana yake sio tu ushabiki. Kwa hiyo ili nguvu zetu zisipotee ni lazima tung'oe madhalimu yote na tujisuke upya. Ni hayo
 
Wadau na wanye mapenzi mema na chadema asilia. Tunawashukuru wote ambao waliamua bila unafiki kumpigia kura Dr Magufuli na hasa kwa kuzingatia ushauri wa Dr Slaa na Prof Lipumba. Allah awabariki makamanda hawa!
Kama tukivyokubaliana chadema asilia tunawataka viongozi wote waliopo sasa kujipima na kuachia madaraka ili chama kiundwe upya vinginevyo uchaguzi ujao utafika tukajikuta hatujapiga hatua yoyote.
Ujio wa Dr Slaa sasa utakuwa chachu ya mabadiliko ndani ya chadema. Tunategemea mafisadi tuliowapokea chadema wataondoka wakati wowote na kwenda walipotoka au kuanzisha chama chao. Baada ya hapo tutamwomba sasa Dr Slaa arudi kundini kuongoza jahazi jipya. Asalaam aleikhum

Hamieni CHAUMA hatuna nafasi kwa wanafiki kama nyie na babu yenu huyo wa kulazwa nje na mwanamke
 
Aiai654; Ni kwa sababu hujui nguvu zetu kiasi gani zimeingizwa chadema. Labda wewe umejiunga juzi tuu. Haiwezekani baadhi yetu tukawa tumefanya biashara ya hasara wakati tulikuwa na malengo kadha wa kadha. Na uhuni wooote umefanywa na watu wachache tuu. Haiwezekani. Unajua tumesha changia kiasi gani mpaka kufika hapa? Kwa hiyo ukijenga hoja uwe unafikiria kwa mapana yake sio tu ushabiki. Kwa hiyo ili nguvu zetu zisipotee ni lazima tung'oe madhalimu yote na tujisuke upya. Ni hayo
 
Babeli anamaanisha walioingia wakiamini watafika ikulu lengo limebuma waende wakachunge ng'ombe km walivyoahidi na hawakusema wakishindwa wataweka mikakat na misingi madhubut kuhakikisha 2020 wanashika dola kwa kushirikiana na viongoz wa ukawa mkiambiwa ukweli mnatoa omo midomoni momvi toka Dr na prof waje ili kufikia malengo tunamshukuru kwa kutupa mtaji wa akina kingung na wengineo ila zama zake zimekoma hapo na somo walopewa wa tz kumhusu yy na Richmond limewaingia kweli kuendelea kumng'ang'ania yy ikulu sahau kupitia mimvi.
 
Karibu Dr.Slaa Mpambanaji wa ukweli!
 
Wadau na wanye mapenzi mema na chadema asilia. Tunawashukuru wote ambao waliamua bila unafiki kumpigia kura Dr Magufuli na hasa kwa kuzingatia ushauri wa Dr Slaa na Prof Lipumba. Allah awabariki makamanda hawa!
Kama tukivyokubaliana chadema asilia tunawataka viongozi wote waliopo sasa kujipima na kuachia madaraka ili chama kiundwe upya vinginevyo uchaguzi ujao utafika tukajikuta hatujapiga hatua yoyote.
Ujio wa Dr Slaa sasa utakuwa chachu ya mabadiliko ndani ya chadema. Tunategemea mafisadi tuliowapokea chadema wataondoka wakati wowote na kwenda walipotoka au kuanzisha chama chao. Baada ya hapo tutamwomba sasa Dr Slaa arudi kundini kuongoza jahazi jipya. Asalaam aleikhum

Unaonekana wewe ni teammasaburi sisi hatuna shida na Dr Slaa wala yeyote alietoka na kurudi ccm.
Chama kinaendelea kukua bila nyie sasa tumekosa urais lakini tumepata wabunge wengi zaidi kuliko mlivyotarajia mtuache mkwendeeee.
Tunaanza kujipanga kwa ajili ya uchaguzi ujao
 
Dr.Slaa amewahi uteuzi Wa baraza la mawaziri kwani mchango wake no mkubwa CCM mpeni uwaziri Dr.Slaa
 
Kusema ukweli shindikizo kumtaka mbowe ajiuzuru limeanza kuwa kubwa
 
atueleze alikuwa wapi wakati tunamzika babaake Jery Slaa
 
Back
Top Bottom