- Thread starter
- #161
Hayo ya viti maalum ndio usiseme. Uozo mtupu. Kila kona malalamiko.naona siasa imeshakuwa biashara. Wachache wanataka kuneemeka kwa kura za wananchi jawa wanyonge kwa sababu kura zao ndio zinawawezesha wai kugawana mavyeo tu wanavyotaka. Dunia gani hii