twahil
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 4,100
- 2,796
sisi bawacha wa unguja tutakuja huko kuwaunga mkono ili kudai haki yetu.
Mbowe katuchagulia wabunge wawili viti maalum tusiowatambua...yaani hawajawahi hata siku moja kupiga kampeni. Eti wamechaguliwa wanakuja kujitambulisha ofisi za chama...
hatukubaliiiiiii la sivyo tunarudisha kadi zetu woteee
Mbowe katuchagulia wabunge wawili viti maalum tusiowatambua...yaani hawajawahi hata siku moja kupiga kampeni. Eti wamechaguliwa wanakuja kujitambulisha ofisi za chama...
hatukubaliiiiiii la sivyo tunarudisha kadi zetu woteee