Msimamo wetu sisi CHADEMA asilia

Msimamo wetu sisi CHADEMA asilia

Duh!! Hivi kumbe Slaa bado anajihusisha na siasa?
 
Hivi mpaka dakika hii bado hamjajifunza upuuzi uliofanywa na viongozi wa Chadema? Mnafikiri chama bado kinaaminiwa kwa kiwango kile kile ukitoa nyie mashabiki wachache wa mitandaoni? Dr Slaa karibu Tanzania tuijenge upya Chadema ....
 
Wadau na wanye mapenzi mema na chadema asilia. Tunawashukuru wote ambao waliamua bila unafiki kumpigia kura Dr Magufuli na hasa kwa kuzingatia ushauri wa Dr Slaa na Prof Lipumba. Allah awabariki makamanda hawa!
Kama tukivyokubaliana chadema asilia tunawataka viongozi wote waliopo sasa kujipima na kuachia madaraka ili chama kiundwe upya vinginevyo uchaguzi ujao utafika tukajikuta hatujapiga hatua yoyote.
Ujio wa Dr Slaa sasa utakuwa chachu ya mabadiliko ndani ya chadema. Tunategemea mafisadi tuliowapokea chadema wataondoka wakati wowote na kwenda walipotoka au kuanzisha chama chao. Baada ya hapo tutamwomba sasa Dr Slaa arudi kundini kuongoza jahazi jipya. Asalaam aleikhum
yani ww ndorobo kweli umesikia edo anashida ya kuwa chadema au uoni amasa aliyotuachia
 
Si Umeshampigia fisadi kura za salaam za makabila ?

Kinachokwasha nini?

Anayedhani Lowassa ni fisadi amuulize Dr Slaa Atakueleza vizuri, !!!
Tatizo hapa ni Urais
 
Ameona ruzuku waliochuma wanaume itaongezeka, anataka kuleta tumbo lake, familia, na vimada.
 
Anaweza kuuvaa ubunge wa kuteuliwa - ni muda tu !!
 
Hivi mpaka dakika hii bado hamjajifunza upuuzi uliofanywa na viongozi wa Chadema? Mnafikiri chama bado kinaaminiwa kwa kiwango kile kile ukitoa nyie mashabiki wachache wa mitandaoni? Dr Slaa karibu Tanzania tuijenge upya Chadema ....

Dr.Slaa hana nafasi tena CHADEMA,
 
unapoona mtu anadhubutu kunyanyua mdomo wake huku akimsifu lowasa kua nikamanda na akimtuhumu dr.slaa kua ametumwa na ccm mtu huyo muangalie kwa jicho la tatu. Watu wanahoji vitu vya msingi wewe unakuja na tuhuma zako ambazo hazina hata kamshiko. Lowasa amewalisha nini nyinyi? Lowasa shida yake yeye awe rais na sio kutatua kero za watanzania kamaanavyo jinasibu kwenye majukwaa. Angekua ana nia ya kutatua asingetuibia kias hicho. Kama lowasa alikua anaona ccm, mfumo wake ni mbaya na hakuna demokrasia kwanini walichukua fomu ya urais? Watanzania ifike mahali tuziache akili zetu zifanye kazi natupunguze mihemko ya vyama vya siasa "politician ain't humanitarian" tunakazi ya kuijenga tanzania yetu. Epuka matapeli


umenena, ila ukweli ni watanzania tumepumbazwa na ushabiki usio na tija kwa taifa, watu wamekalia ukanda, ukabila na udini tu na wamesahau utaifa. Tuna macho lakini hatuoni hata kwa majirani zetu, tuna masikio lakini hatusikii na kupembua mambo ya msingi kwa taifa letu.

Nb. Unapombeza dr. Slaa kwa siasa za kitanzania eti hana mchango, definitely tunakosea, mchango wa dr, ni positive zaidi kwa taifa letu kuliko huyo mgeni ambaye hana huruma na hatokuja kuwa na uzalendo na taifa letu. Mbowe ameharibu chama, tamaa zimemponza sababu kubwa ikiwa fikra zake kutawaliwa na tamaa ya madaraka. Hivyo kama kuna watu wenye kujimbua na kudai haki yao ya cdm asilia, tuwasikilize na tushindanishe hoja, kama ni uccm hata mbowe ana chembe chembe nyingi za uccm na kadhihilisha kwa kuwaabudu maccm papa,hadi kuwapa nafasi kubwa ya kugombea urais bila jasho lolote.
 
Wana jf
Nikiwa kama mkereketwa na mfuasi wa Dr Slaa nazidi kuhamasisha wanachama na wapenzi wa chadema asilia kufuata na kuenzi mawazo ya kamanda wetu wa ukweli ambaye tunapaswakujiuliza yafuatayo;

1) Ni kwa nini mchakato wa kutafuta mgombea urais haukufuatwa kama ilivyokuwa imepangwa.

2) Ni kwa nini mtu amechukua takribani wiki 2 tu tangu alipohamia kutoka CCM na kuteuliwa kuwa mgombea urais.

3) Ni kwa nini viongozi waandamizi makamanda walitupwa nje hivihivi bila kuthamini michango yao.

4) Ni kwa nini yule fisadi mkuu kutoka CCM kama mlivyokuwa mnatuhubiria na kupitia magazeti ya mwanahalisi pia tuliamua kumkumbatia. Ni nani alimsafisha ?

5) Ni kwa nini viongozi wetu mliamua kuwachukua makapi yote kutoka CCM wakati mliapa hamtachukua tena makapi kutoka CCM.

6) Makamanda mnazungumzia mfumo gani huu wa CCM ambao ni mbaya na ukilinganisha na limfumo baya zaidi kupita yote niliyotaja hapo juu. Tunaweka misingi gani ya utawala bora ?

Tafakari chukua hatua haraka !!

Silaa ni nani? Na anakuja kwa nani?mnamkuza sana, yeye ni nani? Akija au asipokuja kutaharibika kitu gani? Fanya kazi maneno yasiyo na maana achana nayo
 
Kwaa ukweli mchango wake
Utakumbukwa daima

Lakini alivvyotuletea Low asssa


halaffu akatuacha katikati ya mapambano!!!!!!!! Sinah hammm














Ama ukweli
 
Ni kweli kuna vuguvugu ambalo lipo na linaendelea kuhusiana na matendo ambayo yamefanywa na viingozi wa ukawa ya kuwapokea mafisadi na makapi yaliyotoka ccm kiasi cha kusababisha kushindwa vibaya katika uchaguzi mkuu.

Shutuma zilizopo ni kwamba viongozi walinunuliwa ili kupindisha taratibu za kumpata mgombea urais tofauti na makubaliano yalivyokuwa kabla Dr Slaa na Prof. Lipumba hawajaondoka.

Hata Tundu Lissu alishatuthibitishia kuwa chaguo la ukawa lingekuwa Dr Slaa. Lakini alivyokuja fisadi akaamrisha kuwa hataki mpinzani yoyote na yeye ndie awe mgombea. Mfumo wa ajabu sana huu halafu tutegemee kupewa nchi , kwa dhamana ya nani?

Viongozi wa CHADEMA hawana budi kujiuzuru. Watoe nafasi kwa damu mpya na mawazo mapya. Hakuna jipya tulilonalo sanasana kuendelea kununuliwa tu. Haya tunaambiwa Lowasa amekuwa kiongozi mkuu wa ukawa. Nani kamchagua.

Tafadhalini sana tuheshimiane. Nadhanj tukiwafungia makufuli pale ofisini ndio mtaelewa.
 
Dr. Slaa si kahama Chadema? Kwanini hao wanaojiita Chadema asili wasimfuate huko alikoenda? Ninavyojua mimi Chadema asili ni ya Mtei tu hiyo nyingine ni photocopy.
 
Tumaini Makene anaaema viti vitano walivyopewa kina Mama Mollel yule aliekuwa Katibu Mkuu ofis ya Rais eti ni kutokana na Msaada wao kwny Kampen za Lowassa, kumbe Viti maalum ni Return ya utendaji kazi sio viti husika ndio utendaji kazi, Kuondoka kwa Dr.Slaa kutaleta pengo sana pale Chadema, Mbowe ni mtu wa Amsha amsha sio zile Strategic plan za ushindi, Hamasa kubwa ya uchaguzi huu haikuwa Ukawa kukosa walau thuluthi moja ya viti bungeni kumaliza nusu karne ya ccm kuhodhi bunge kwa kupitisha bajeti kwa sauti za ndio zinazoamuliwa na spika kama zimetosha au la
 
Thead kama hizi ni uozo mtupu? CHADEMA imeshindwa vibaya? kwa vigezo vipi vya ulinganifu?
 
Una uhakika walishindwa vibaya:what: maana usiropoke hovyohovyo kama uko toi...! wabunge wa chadema wameongezeka kwenye majimbo na wa kuteuliwa, kura za rais dk. mihogo hajawai fika hata nusu yake:what: halafu unatuletea habari eti asilia:what: waandamane usiku na mchana, wanakujaa mavi nyie:what:
 
Dr Slaa yeye mwenyewe alikiri kuwa hakuwa na wazo la kugombea Utais. Sasa hizi porojo zunatoka wapi? Chadema imeongeza majimbo kuliko ilivyokuwa 2010.
 
Back
Top Bottom