Msimamo wangu

Msimamo wangu

Mume wako akitengwa na ndugu zake,utamhamishia kwenu?,hta ww kuna mambo ya msing na ndg zko mume hatopaswa kuyawekea msimamo,coz yanareflect ya moja kwa moja kat yko ww na familia ya kwenu.


wamtenge kwa lipi? kwani niliolewa na mume wangu au ndugu zake?? watafute mali zao
 
masharti kiasi jamani sa huyu si anajaza booklet hata tatu..... ah vituko wanajijua wenyewe, ila sio ka wewe best

Ha ha ni shider kwa wanaume wa sasa ivi wasipopewa masharti kwenye counter book lazima ile kwako maana watakuonea lazima bora kukomaa naye na masharti magumu kuliko ya world bank ili wawe kwenye mstari
 
MSIMAMO WANGU: -
1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea!
2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi!
3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa!
4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau! Imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide!
6. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine ctaki!
7. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi!
8. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa!
9. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo!
10. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu! Narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali!
*NIMEMALIZA*

Huu sio msimamo,msimamo ni kutokuvua pichu,haya mengine nature inadefine yenyewe baada ya mgegedo kukukolea
 
MSIMAMO WANGU: -
1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea!
2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi!
3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa!
4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau! Imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide!
6. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine ctaki!
7. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi!
8. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa!
9. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo!
10. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu! Narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali!
*NIMEMALIZA*

atoto,shikamo dada
 
Back
Top Bottom