Msimamo wangu

Msimamo wangu

[JFMP3][/JFMP3]
Hahaha..hebu tutoke nje ya mada kidogo..,mim sielew hivi ni wapenz au??mbona anamchora ezden mwee..had whatsap kamueka profile pic

mbuta nanga amemdondokea hb ezden but sidhan kama ezden atarudia kosa.
 
Wengine walikuwa Ba masharti arobaini na nne lakini walipofika 36 years old bila huyo mume sasa hawana sharti hata moja and still singali and searching..

ngoja ugonge 32 kwenda mbele afu upo single uone kama utakuwa na guts za kutaja hata sharti moja.
 
MSIMAMO WANGU: -
1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea!
2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi!
3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa!
4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau! Imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide!
6. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine ctaki!
7. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi!
8. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa!
9. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo!
10. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu! Narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali!
*NIMEMALIZA*
mbonA nimeoteshwA kua hautaolewa
 
Japo una point ya msingi lakini nyuma ya ulichoandika unaongozwa sana na UBINAFSI... na hapa ndiko mlikofanikiwa sana kujiharibu kwa fikra za namna hii.

Mwanaume ni kichwa cha nyumba na kila kitu.. hio ndio msingi wake.. mnapooana mnakua mmoja katika wawili na kila mmoja anakuwa sehemu ya mwenzake.... lakini mamlaka yapo kwa mume maana hilo andiko ulilorefer juu yake mwanamke anaambiwa na Mungu.."kwa kumtii nyoka(shetani) atazaa kwa utungo na uchungu utazidishwa.... TAMAA YAKE ITAKUA JUU YA MUMEWE NA MWANAUME ATAMTAWALA" kama unakubaliana na mwanaume kula kwa jasho bali ukubaliane pia na kutawaliwa (kumbuka kutawaliwa ni tofauti na kuongozwa"

Pili mke unatoka asubuhi unarudi usiku kila siku ya kazi... mume na watoto wanatunzwa na mfanyakazi wa ndani... halafu hela yako haionekani inachofanyia,,, nishwishi kwa nini usikae nyumbani???? hujaolewa uje uzae watoto na kuwatelekeza hapo kwa dada wa kazi then upate podium ya kwenda kusaka hela... NDOA NI TAASISI RASMI INA KANUNI NA SHERIA ZAKE... KAMA HAUKO TAYARI KUISHI KWAZO... BORA UBAKIE TU HUKO NJE KULIKO KUINGIA HUKU UKIONGOZWA NA UBINAFSI WA HALI YA JUU KIASI HIKO.

Maandiko yanasema ktk kitabu cha Petro... siku za mwisho watu watakua wenye kupenda pesa, wenye kujipenda wenyewe(wabinfsi)........."

Kinachonisumbua kwenye ulichoandika sio wewe kumiliki na kutawala vyako... lakini nyumba ya hio roho kuna nini (the push behind your thinking) ambapo wengi wakisoma hapa bila kutafakari iko wataishia tu kutoa povu.

ALL THE BEST THEN

MSIMAMO WANGU: -
1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea!
2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi!
3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa!
4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau! Imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide!
6. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine ctaki!
7. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi!
8. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa!
9. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo!
10. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu! Narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali!
*NIMEMALIZA*
 
MSIMAMO WANGU: -
1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea!
2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi!
3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa!
4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau! Imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide!
6. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine ctaki!
7. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi!
8. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa!
9. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo!
10. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu! Narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali!
*NIMEMALIZA*

pole dada.hao wanaume unaowapata hawajuwi mahaba.ukikutana na chizi kama mimi utatowa hizo pesa kwa moyo wako kurizia.unapewa mahaba mazito hadi akili inakuruka huo msimamo wako hadi unapotea
 
utanisindikiza kwa Bluetooth au kwa wasapu? usilete masihara ujue hapa nilipo na chooni ni hatua..

hahaaa!! basi ule ushauri nahidi ulifaa zaidi, tehee
 
pole dada.hao wanaume unaowapata hawajuwi mahaba.ukikutana na chizi kama mimi utatowa hizo pesa kwa moyo wako kurizia.unapewa mahaba mazito hadi akili inakuruka huo msimamo wako hadi unapotea

heee heee atoto ukuje pande hii
 
Last edited by a moderator:
Weka hata picha ya kucha basi! si masharti marefu km zindiko la utajiri kumbe binti mwenyewe Asha Ngedere afadhali, kicheko ka cha Bi Chau!?

heheheeeeee!!
 
Mhhhh.....Hujakumbwa na mahaba bado, omba Mungu yasikupate...

Halafu hapo kwenye ndugu hapo HAPANA....unadhani mtoto wa watu kajizaa mwenyewe? Kajisomesha mwenyewe? Yani kukutana ukubwani ndo umtenge na ndugu zake?
Kumbuka kwa familia zetu za kiafrika hadi unakutana nae amekomaa hivyo ujue kuna watu walijitoa na walipata karaha kwa ajili yake...acha alipe fadhila.

Labda ukatafute babu wa kizungu.....!

hahaaaa!!! wakae mbali, inapobidi watasaidiwa ila sio lazima
 
Back
Top Bottom