Msimamo wangu

Msimamo wangu

Wengine walikuwa Ba masharti arobaini na nne lakini walipofika 36 years old bila huyo mume sasa hawana sharti hata moja and still singali and searching..

ngoja ugonge 32 kwenda mbele afu upo single uone kama utakuwa na guts za kutaja hata sharti moja.


whaaat!! sasa mbona tayati 35!! mweee!!
 
Japo una point ya msingi lakini nyuma ya ulichoandika unaongozwa sana na UBINAFSI... na hapa ndiko mlikofanikiwa sana kujiharibu kwa fikra za namna hii.

Mwanaume ni kichwa cha nyumba na kila kitu.. hio ndio msingi wake.. mnapooana mnakua mmoja katika wawili na kila mmoja anakuwa sehemu ya mwenzake.... lakini mamlaka yapo kwa mume maana hilo andiko ulilorefer juu yake mwanamke anaambiwa na Mungu.."kwa kumtii nyoka(shetani) atazaa kwa utungo na uchungu utazidishwa.... TAMAA YAKE ITAKUA JUU YA MUMEWE NA MWANAUME ATAMTAWALA" kama unakubaliana na mwanaume kula kwa jasho bali ukubaliane pia na kutawaliwa (kumbuka kutawaliwa ni tofauti na kuongozwa"

Pili mke unatoka asubuhi unarudi usiku kila siku ya kazi... mume na watoto wanatunzwa na mfanyakazi wa ndani... halafu hela yako haionekani inachofanyia,,, nishwishi kwa nini usikae nyumbani???? hujaolewa uje uzae watoto na kuwatelekeza hapo kwa dada wa kazi then upate podium ya kwenda kusaka hela... NDOA NI TAASISI RASMI INA KANUNI NA SHERIA ZAKE... KAMA HAUKO TAYARI KUISHI KWAZO... BORA UBAKIE TU HUKO NJE KULIKO KUINGIA HUKU UKIONGOZWA NA UBINAFSI WA HALI YA JUU KIASI HIKO.

Maandiko yanasema ktk kitabu cha Petro... siku za mwisho watu watakua wenye kupenda pesa, wenye kujipenda wenyewe(wabinfsi)........."

Kinachonisumbua kwenye ulichoandika sio wewe kumiliki na kutawala vyako... lakini nyumba ya hio roho kuna nini (the push behind your thinking) ambapo wengi wakisoma hapa bila kutafakari iko wataishia tu kutoa povu.

ALL THE BEST THEN

Pole saaana dada!
Kwanza inaoneka hujawah enjoy kitu kinaitwa penzi kwan hapo kwenye penz inafika wkt brain inakaa off automatic na unatoa mwenyewe bila shinikizo!
Pili, nnakwambia mwanaadamu mwenye damu na nyama hawezi kuweka kiapo cha mapnz na kika kaa kabisaa!!!!
Nimewaona wengi!!!!
Tafuta na unapopendwa kwani usipopendwa..........................
 
we ATOTO hao wanaume unaokutana nao hawajuwi mahaba.huo msimamo wako utapotea ukikutana na mtundu wa mahaba.nahakika bado ujafaid mapenzi matamu utahonga wewe pesa yako yote
 
Pole saaana dada!
Kwanza inaoneka hujawah enjoy kitu kinaitwa penzi kwan hapo kwenye penz inafika wkt brain inakaa off automatic na unatoa mwenyewe bila shinikizo!
Pili, nnakwambia mwanaadamu mwenye damu na nyama hawezi kuweka kiapo cha mapnz na kika kaa kabisaa!!!!
Nimewaona wengi!!!!
Tafuta na unapopendwa kwani usipopendwa..........................


sasa mbona mimi nimetoa na kimekaa!! na ninafaidi kweli
 
vp za sasa zime-expire!?!

Atoto labda nikukumbushe pindi unakuwa japo nahakika bado ni mdogo tu anyhow kulingana na wishes zako.

Kipindi cha utotoni kila mtu huwa akiulizwa ynataka kuwa nani baada ya kumaliza shule, wengi hujibu daktari, rubani, mwalim n.k lakin hata mimi binafsi niliyetamani kuwa daktari leo hii nimejikuta mjasiliamali hahahaha, so always nature inatake charge nothing you can do,

Ushauri wangu kwako ni kuachana na misimamo ambayo haina tija kwako na kwa atakae kuoa maana kila mtu angeweka mashart ya namna hiyo basi zaid ya 90% za ndoa zingevunjika including ya wazazi wako, otherwise best of lucky!!!
 
we ATOTO hao wanaume unaokutana nao hawajuwi mahaba.huo msimamo wako utapotea ukikutana na mtundu wa mahaba.nahakika bado ujafaid mapenzi matamu utahonga wewe pesa yako yote


ninafaidi hatari na pesa ctoi ng'ooo!!
 
Back
Top Bottom