Msimamo wangu

Msimamo wangu

Kwanza kabla ya kuwa na msimamo una quality hizo?

Kuna wengine anaweza kuwa na msimamo mdogo tu bia za TBL hanywi anataka Heineken au Savanna je una hizo quality za deiwaka aspend na wewe bila roho kumuuma?

quality amezipanga nani?
 
Leo kazi yangu kuhesabu page tu....jamani tumefika page ya nane....ivi watu mnalalaga saangap maana ka kumekucha vile

hee hee watu wametoka kwenye mechi so wakiwa half time ndo wanajimuvuzisha hapa
 
Kwanza kabla ya kuwa na msimamo una quality hizo?

Kuna wengine anaweza kuwa na msimamo mdogo tu bia za TBL hanywi anataka Heineken au Savanna je una hizo quality za deiwaka aspend na wewe bila roho kumuuma?

Hapo sasa!

Ndo maana nasema hii misimamo ya kufikirika ni ya changamsha jamvi tu kwa sababu kiuhalisia ukiwa na misimamo kama hiyo hutakuwa na mahusiano mazuri na watu kwa ujumla achilia mbali mahusiano ya kimapenzi.

Tabia za 'umimi' ni recipe ya maafa kwenye mahusiano.
 
Leo kazi yangu kuhesabu page tu....jamani tumefika page ya nane....ivi watu mnalalaga saangap maana ka kumekucha vile

Unajuwa Tokyo ni saa ngapi saa ngapi muda huu? San Fransisco? Vancouver? Moscow?

Tahadhari usijejikuta umekesha peke yako.
 
Hapo sasa!

Ndo maana nasema hii misimamo ya kufikirika ni ya changamsha jamvi tu kwa sababu kiuhalisia ukiwa na misimamo kama hiyo hutakuwa na mahusiano mazuri na watu kwa ujumla achilia mbali mahusiano ya kimapenzi.

Tabia za 'umimi' ni recipe ya maafa kwenye mahusiano.

oooooh!! huo ndio msimamo wako! ok nimekuelewa, ila ule ndio wangu
 
Back
Top Bottom