Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 12,231
- 9,552
Kama hukuwahi kutambua kuwa CHADEMA kupitia BAVICHA kina watetezi wa kiwango cha chini kabisa katika uelewa wa masuala ya kiuchumi, kisiasa na kijamii basi utakuwa mgeni hapa Jamiiforums.
Nguli wa behavioral science aitwaye Steve Maraboli aliwahi kusema, People tend to be generous when sharing their nonsense, stupid and ignorance.
Hawa ndiyo BAVICHA.
Mbona tumeshawajua mmeshampa cha Mwampamba.