Msimamo wangu ndani ya Chama

Msimamo wangu ndani ya Chama

Kutokana na kutokuelewana na hoja dhaifu zinazoendelea hapa jukwaani naona ni vema niweke msimamo wangu wazi ili niweze kueleweka.

Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA,nimejiunga na chama tangu miaka ya 90 mwanzoni,sisi ndiyo wanachama wa mwanzoni kabisa wa
CHADEMA kanda ya kaskazini na nilishiriki kuhamasisha Watanzania wenzangu kujiunga na chama miaka hiyo.

Mimi nikiwa kama mwanachama wa
CHADEMA nina haki ya kuhoji,kukubali,kukataa,kurekebisha,kubisha,kuunga mkono na kadhalika,hakuna kiongozi au mwanachama yeyote wa CHADEMA mwenye uwezo wa kubadilisha msimamo wangu,ninafata katiba ya chama na kamwe simfati mtu.

naamini siku moja
CHADEMA haitakuwepo tena na CCM haitakuwepo lakini taifa langu litakuwepo msimamo wangu nasimama na Taifa kama mimi na kulitendea haki.

CHADEMA ni banadamu tu kama CCM na inawezekana kabisa tukichukua madaraka tukafanya vibaya kuliko hata ccm kwa sababu wote tumelelewa na mfumo ule ule mawazo yaleyale huo ndiyo msimamo wangu na lazima uheshimiwe na kama hutaki kuheshimu msimamo wangu njoo na hoja na siyo kukurupuka,ukiwa mtu wa level ya chini na huna utayari wa kubadilika utabaki level ile ile miaka nenda rudi.

Yanayoendelea hapa jukwaani ni aibu kwa chama changu,naijua JF ni special for Great thinkers where we dare to talk openly! Naongea mawazo yangu ndivyo ninavyojulikana kama chama kimefika level ya kutegemea wawakilishi wenye hoja dhaifu kama waliopo hapa JF then i have to think twice!

Msimamo wangu uheshimiwe na watu wote kwa sababu ni haki yangu kikatiba kuwa na msimamo kama huu!

Rosemary Kimaro!


CHEDEMA TANGU mwanzoni mwa miaka ya 1990.mpaka leo hata siyo katibu wa msingi,tawi wala kata?
Kadi namba hakuna?
Viongozi wako akinanani huko unakotoka?
 
rosemarie hata usipate shida.JF sio platform ya CHADEMA.

Najua CHADEMA ina platform yake ya kutangaza na kujulisha jamii mambo yaihusuyo

Na platform hiyo sio JF

Na hapa JF kuna msemaji wa chama Kurugenzi ya Habari na Tumaini Makene

Sasa kuna watu wapuuzi kama Molemo hao wasikupe taabu....Ni wapuuzi wachache ambao tunao CHADEMA.

CHADEMA ni chama kikubwa inabidi pia tuvumilie kuwa na wapuuzi kama hawa

Nakubaliana na wewe na naukubali msimamo wako...Katika CHADEMA tufuate kanuni,sheria na Katiba ya chama...hivyo ndivyo vituunganishe.

Asante.

Forward Ever,Backward Never
Freeland wa JF!
Mkuu Freeland huyu Molemo huenda ni Lumumba nini?
 
Last edited by a moderator:
Rosemary ana hoja,CHADEMA jengeni utamaduni wa kuvumilia na kuheshimu mawazo ya wengine hata kama hayawafurahishi,hivyo ndivyo demokrasia ilivyo.Hakuna nchi,taasisi,idara,shirika au kampuni itakayofanikiwa kama hakutakuwepo na uhuru wa mawazo na fikra.,never!
 
rosemarie hata usipate shida.JF sio platform ya CHADEMA.

Najua CHADEMA ina platform yake ya kutangaza na kujulisha jamii mambo yaihusuyo

Na platform hiyo sio JF

Na hapa JF kuna msemaji wa chama Kurugenzi ya Habari na Tumaini Makene

Sasa kuna watu wapuuzi kama Molemo hao wasikupe taabu....Ni wapuuzi wachache ambao tunao CHADEMA.

CHADEMA ni chama kikubwa inabidi pia tuvumilie kuwa na wapuuzi kama hawa

Nakubaliana na wewe na naukubali msimamo wako...Katika CHADEMA tufuate kanuni,sheria na Katiba ya chama...hivyo ndivyo vituunganishe.

Asante.

Forward Ever,Backward Never
Freeland wa JF!
Usitukane watu wapuzi maana huwajua au hutujui tulia uweleweshwe
 
Last edited by a moderator:
Kama hukuwahi kutambua kuwa CHADEMA kupitia BAVICHA kina watetezi wa kiwango cha chini kabisa katika uelewa wa masuala ya kiuchumi, kisiasa na kijamii basi utakuwa mgeni hapa Jamiiforums.

Nguli wa behavioral science aitwaye Steve Maraboli aliwahi kusema, People tend to be generous when sharing their nonsense, stupid and ignorance.

Hawa ndiyo BAVICHA.
Wewe mumeo si kafariki?
 
Usitukane watu wapuzi maana huwajua au hutujui tulia uweleweshwe

Upuuzi sio tusi...bali upuuzi ni sifa

Kwa watu aina ya Molemo ambaye wewe unafanana nae hata namna ya kuandika sifa hii wanaendana nayo

Mkuu Precise Pangolin kuna uwezekano mkubwa huyu jamaa sio wa Lumumba lakini ni aina ya mtu ambaye uwezo wake wa akili ni wa chini mnooooo...Ni wale watu ambao hawezi hata kufikiria yeye binafsi...hawa ndio watu ambao kwa maneno yao wanafanya wengine tuonekane wapumbavu
 
Last edited by a moderator:
Kutokana na kutokuelewana na hoja dhaifu zinazoendelea hapa jukwaani naona ni vema niweke msimamo wangu wazi ili niweze kueleweka.

Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA,nimejiunga na chama tangu miaka ya 90 mwanzoni,sisi ndiyo wanachama wa mwanzoni kabisa wa
CHADEMA kanda ya kaskazini na nilishiriki kuhamasisha Watanzania wenzangu kujiunga na chama miaka hiyo.

Mimi nikiwa kama mwanachama wa
CHADEMA nina haki ya kuhoji,kukubali,kukataa,kurekebisha,kubisha,kuunga mkono na kadhalika,hakuna kiongozi au mwanachama yeyote wa CHADEMA mwenye uwezo wa kubadilisha msimamo wangu,ninafata katiba ya chama na kamwe simfati mtu.

naamini siku moja
CHADEMA haitakuwepo tena na CCM haitakuwepo lakini taifa langu litakuwepo msimamo wangu nasimama na Taifa kama mimi na kulitendea haki.

CHADEMA ni banadamu tu kama CCM na inawezekana kabisa tukichukua madaraka tukafanya vibaya kuliko hata ccm kwa sababu wote tumelelewa na mfumo ule ule mawazo yaleyale huo ndiyo msimamo wangu na lazima uheshimiwe na kama hutaki kuheshimu msimamo wangu njoo na hoja na siyo kukurupuka,ukiwa mtu wa level ya chini na huna utayari wa kubadilika utabaki level ile ile miaka nenda rudi.

Yanayoendelea hapa jukwaani ni aibu kwa chama changu,naijua JF ni special for Great thinkers where we dare to talk openly! Naongea mawazo yangu ndivyo ninavyojulikana kama chama kimefika level ya kutegemea wawakilishi wenye hoja dhaifu kama waliopo hapa JF then i have to think twice!

Msimamo wangu uheshimiwe na watu wote kwa sababu ni haki yangu kikatiba kuwa na msimamo kama huu!

Rosemary Kimaro!


Naomba nikwambie watu wote double standard hatuta wavumilia.. naomba ninuku kauli ya mwenyekiti wangu HATUTA VUMILIA WASALITI NATUKIWAKAMATA mwisho wakunuku... jitafakari kama kweli upo chadema

Chadema Kwanza
 
rosemarie,

Ikiwa kweli unaipenda CHADEMA achana na hawa mamluki wa JF wanaojifanya kwamba wao ndo wana uchungu sana na chama kumbe wengi wao ni stress za maisha ndizo zinawasumbua! Hawa ni wale wanaotaka kila mtu aamini wao ndio wenye uchungu sana na nchi hii na ni wao peke yao ndio wenye uchungu na wanaofahamu nini maana ya mabadiliko! Hawa ni wale ambao hawataki hata siku moja wakisikia inaongelewa negative side ya chama utafikiri chama kinaongozwa na malaika!! Hao ni wale wa "ndio mzee" ili mradi jambo lenyewe limeongewa ama kufanywa na yule wanayeamuona ni wa maana! Hawa ni wale, usishangae, mtu na shahada yake lakini haoni taabu wala aibu kubeba mikoba ya wanasiasa! Hawa watashangilia kila kitu kinachotoka upande wao hata kama kitu chenyewe ni cha kipumbavu!
 
Last edited by a moderator:
Upuuzi sio tusi...bali upuuzi ni sifa

Kwa watu aina ya Molemo ambaye wewe unafanana nae hata namna ya kuandika sifa hii wanaendana nayo

Mkuu Precise Pangolin kuna uwezekano mkubwa huyu jamaa sio wa Lumumba lakini ni aina ya mtu ambaye uwezo wake wa akili ni wa chini mnooooo...Ni wale watu ambao hawezi hata kufikiria yeye binafsi...hawa ndio watu ambao kwa maneno yao wanafanya wengine tuonekane wapumbavu
Nikweli mimi na Molemo tunaendana sana sana kwakua tunapinga watu ambao ni double standard kama nyie
 
Last edited by a moderator:
rosemarie,

Ikiwa kweli unaipenda CHADEMA achana na hawa mamluki wa JF wanaojifanya kwamba wao ndo wana uchungu sana na chama kumbe wengi wao ni stress za maisha ndizo zinawasumbua! Hawa ni wale wanaotaka kila mtu aamini wao ndio wenye uchungu sana na nchi hii na ni wao peke yao ndio wenye uchungu na wanaofahamu nini maana ya mabadiliko! Hawa ni wale ambao hawataki hata siku moja wakisikia inaongelewa negative side ya chama utafikiri chama kinaongozwa na malaika!! Hao ni wale wa "ndio mzee" ili mradi jambo lenyewe limeongewa ama kufanywa na yule wanayeamuona ni wa maana! Hawa ni wale, usishangae, mtu na shahada yake lakini haoni taabu wala aibu kubeba mikoba ya wanasiasa! Hawa watashangilia kila kitu kinachotoka upande wao hata kama kitu chenyewe ni cha kipumbavu!
Hatuta mumunya Maneno nanuku maneno ya Dr. Slaa nibora tubaki wachache wenye nia safi na chadema
 
Last edited by a moderator:
Na mwaka huu mtaibishana mpk mkome, mara ACT mara Chadema, mnaandka paragraph 3 hamuelewek, mnatukanana ndo mnataka nchi nyie? Hata kuendesha Mkoa hamjafkia jamani! Kiongozi bora atatoka ccm, trust me.
 
CHEDEMA TANGU mwanzoni mwa miaka ya 1990.mpaka leo hata siyo katibu wa msingi,tawi wala kata?
Kadi namba hakuna?
Viongozi wako akinanani huko unakotoka?

Sio lazima kila mtu awe kiongozi ndani ya CHADEMA

Asante
Forward Ever,Backward Never
Freeland wa JF!
 
Na mwaka huu mtaibishana mpk mkome, mara ACT mara Chadema, mnaandka paragraph 3 hamuelewek, mnatukanana ndo mnataka nchi nyie? Hata kuendesha Mkoa hamjafkia jamani! Kiongozi bora atatoka ccm, trust me.

Acha upoyoyo ndugu yangu...nani amekuambia hapa JF ndio kikao cha chama..hapa kuna watu mbalimbali hata mashabiki....Na kutofautiana mawazo ndio afya ya chama.

Asante
Forward Ever,Backward Never
Freeland wa JF!
 
huyu tahira kweli unalazimisha tuheshimu mavi...
 
Hatuta mumunya Maneno nanuku maneno ya Dr. Slaa nibora tubaki wachache wenye nia safi na chadema

Yaani wewe hata hujistukii...wenzako wa CHADEMA humu wanakukosoa wewe unaona sawa tuuu...Hovyo sana wewe mtu....CDM would be better off without you "Ndio Mzees"

Asante
Forward Ever,Backward Never
Freeland wa JF!
 
Na mwaka huu mtaibishana mpk mkome, mara ACT mara Chadema, mnaandka paragraph 3 hamuelewek, mnatukanana ndo mnataka nchi nyie? Hata kuendesha Mkoa hamjafkia jamani! Kiongozi bora atatoka ccm, trust me.

majambazi bora yako CCM...trust me
 
Back
Top Bottom