haya ndiyo malalamiko yangu,kujenga hoja tunashindwa kwa ajili ya kukurupuka,tulia fikiria kabla hajachukua hatua
Molemo njoo umtie discipline huyu mwana CCM-ACT
Last edited by a moderator:
haya ndiyo malalamiko yangu,kujenga hoja tunashindwa kwa ajili ya kukurupuka,tulia fikiria kabla hajachukua hatua
Kutokana na kutokuelewana na hoja dhaifu zinazoendelea hapa jukwaani naona ni vema niweke msimamo wangu wazi ili niweze kueleweka.
Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA,nimejiunga na chama tangu miaka ya 90 mwanzoni,sisi ndiyo wanachama wa mwanzoni kabisa wa CHADEMA kanda ya kaskazini na nilishiriki kuhamasisha Watanzania wenzangu kujiunga na chama miaka hiyo.
Mimi nikiwa kama mwanachama wa CHADEMA nina haki ya kuhoji,kukubali,kukataa,kurekebisha,kubisha,kuunga mkono na kadhalika,hakuna kiongozi au mwanachama yeyote wa CHADEMA mwenye uwezo wa kubadilisha msimamo wangu,ninafata katiba ya chama na kamwe simfati mtu.
naamini siku moja CHADEMA haitakuwepo tena na CCM haitakuwepo lakini taifa langu litakuwepo msimamo wangu nasimama na Taifa kama mimi na kulitendea haki.
CHADEMA ni banadamu tu kama CCM na inawezekana kabisa tukichukua madaraka tukafanya vibaya kuliko hata ccm kwa sababu wote tumelelewa na mfumo ule ule mawazo yaleyale huo ndiyo msimamo wangu na lazima uheshimiwe na kama hutaki kuheshimu msimamo wangu njoo na hoja na siyo kukurupuka,ukiwa mtu wa level ya chini na huna utayari wa kubadilika utabaki level ile ile miaka nenda rudi.
Yanayoendelea hapa jukwaani ni aibu kwa chama changu,naijua JF ni special for Great thinkers where we dare to talk openly! Naongea mawazo yangu ndivyo ninavyojulikana kama chama kimefika level ya kutegemea wawakilishi wenye hoja dhaifu kama waliopo hapa JF then i have to think twice!
Msimamo wangu uheshimiwe na watu wote kwa sababu ni haki yangu kikatiba kuwa na msimamo kama huu!
Rosemary Kimaro!
Mkuu Freeland huyu Molemo huenda ni Lumumba nini?rosemarie hata usipate shida.JF sio platform ya CHADEMA.
Najua CHADEMA ina platform yake ya kutangaza na kujulisha jamii mambo yaihusuyo
Na platform hiyo sio JF
Na hapa JF kuna msemaji wa chama Kurugenzi ya Habari na Tumaini Makene
Sasa kuna watu wapuuzi kama Molemo hao wasikupe taabu....Ni wapuuzi wachache ambao tunao CHADEMA.
CHADEMA ni chama kikubwa inabidi pia tuvumilie kuwa na wapuuzi kama hawa
Nakubaliana na wewe na naukubali msimamo wako...Katika CHADEMA tufuate kanuni,sheria na Katiba ya chama...hivyo ndivyo vituunganishe.
Asante.
Forward Ever,Backward Never
Freeland wa JF!
Na point yako ni nini hapa?
Usitukane watu wapuzi maana huwajua au hutujui tulia uweleweshwerosemarie hata usipate shida.JF sio platform ya CHADEMA.
Najua CHADEMA ina platform yake ya kutangaza na kujulisha jamii mambo yaihusuyo
Na platform hiyo sio JF
Na hapa JF kuna msemaji wa chama Kurugenzi ya Habari na Tumaini Makene
Sasa kuna watu wapuuzi kama Molemo hao wasikupe taabu....Ni wapuuzi wachache ambao tunao CHADEMA.
CHADEMA ni chama kikubwa inabidi pia tuvumilie kuwa na wapuuzi kama hawa
Nakubaliana na wewe na naukubali msimamo wako...Katika CHADEMA tufuate kanuni,sheria na Katiba ya chama...hivyo ndivyo vituunganishe.
Asante.
Forward Ever,Backward Never
Freeland wa JF!
Wewe mumeo si kafariki?Kama hukuwahi kutambua kuwa CHADEMA kupitia BAVICHA kina watetezi wa kiwango cha chini kabisa katika uelewa wa masuala ya kiuchumi, kisiasa na kijamii basi utakuwa mgeni hapa Jamiiforums.
Nguli wa behavioral science aitwaye Steve Maraboli aliwahi kusema, People tend to be generous when sharing their nonsense, stupid and ignorance.
Hawa ndiyo BAVICHA.
Usitukane watu wapuzi maana huwajua au hutujui tulia uweleweshwe
Kutokana na kutokuelewana na hoja dhaifu zinazoendelea hapa jukwaani naona ni vema niweke msimamo wangu wazi ili niweze kueleweka.
Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA,nimejiunga na chama tangu miaka ya 90 mwanzoni,sisi ndiyo wanachama wa mwanzoni kabisa wa CHADEMA kanda ya kaskazini na nilishiriki kuhamasisha Watanzania wenzangu kujiunga na chama miaka hiyo.
Mimi nikiwa kama mwanachama wa CHADEMA nina haki ya kuhoji,kukubali,kukataa,kurekebisha,kubisha,kuunga mkono na kadhalika,hakuna kiongozi au mwanachama yeyote wa CHADEMA mwenye uwezo wa kubadilisha msimamo wangu,ninafata katiba ya chama na kamwe simfati mtu.
naamini siku moja CHADEMA haitakuwepo tena na CCM haitakuwepo lakini taifa langu litakuwepo msimamo wangu nasimama na Taifa kama mimi na kulitendea haki.
CHADEMA ni banadamu tu kama CCM na inawezekana kabisa tukichukua madaraka tukafanya vibaya kuliko hata ccm kwa sababu wote tumelelewa na mfumo ule ule mawazo yaleyale huo ndiyo msimamo wangu na lazima uheshimiwe na kama hutaki kuheshimu msimamo wangu njoo na hoja na siyo kukurupuka,ukiwa mtu wa level ya chini na huna utayari wa kubadilika utabaki level ile ile miaka nenda rudi.
Yanayoendelea hapa jukwaani ni aibu kwa chama changu,naijua JF ni special for Great thinkers where we dare to talk openly! Naongea mawazo yangu ndivyo ninavyojulikana kama chama kimefika level ya kutegemea wawakilishi wenye hoja dhaifu kama waliopo hapa JF then i have to think twice!
Msimamo wangu uheshimiwe na watu wote kwa sababu ni haki yangu kikatiba kuwa na msimamo kama huu!
Rosemary Kimaro!
Nikweli mimi na Molemo tunaendana sana sana kwakua tunapinga watu ambao ni double standard kama nyieUpuuzi sio tusi...bali upuuzi ni sifa
Kwa watu aina ya Molemo ambaye wewe unafanana nae hata namna ya kuandika sifa hii wanaendana nayo
Mkuu Precise Pangolin kuna uwezekano mkubwa huyu jamaa sio wa Lumumba lakini ni aina ya mtu ambaye uwezo wake wa akili ni wa chini mnooooo...Ni wale watu ambao hawezi hata kufikiria yeye binafsi...hawa ndio watu ambao kwa maneno yao wanafanya wengine tuonekane wapumbavu
Hatuta mumunya Maneno nanuku maneno ya Dr. Slaa nibora tubaki wachache wenye nia safi na chademarosemarie,
Ikiwa kweli unaipenda CHADEMA achana na hawa mamluki wa JF wanaojifanya kwamba wao ndo wana uchungu sana na chama kumbe wengi wao ni stress za maisha ndizo zinawasumbua! Hawa ni wale wanaotaka kila mtu aamini wao ndio wenye uchungu sana na nchi hii na ni wao peke yao ndio wenye uchungu na wanaofahamu nini maana ya mabadiliko! Hawa ni wale ambao hawataki hata siku moja wakisikia inaongelewa negative side ya chama utafikiri chama kinaongozwa na malaika!! Hao ni wale wa "ndio mzee" ili mradi jambo lenyewe limeongewa ama kufanywa na yule wanayeamuona ni wa maana! Hawa ni wale, usishangae, mtu na shahada yake lakini haoni taabu wala aibu kubeba mikoba ya wanasiasa! Hawa watashangilia kila kitu kinachotoka upande wao hata kama kitu chenyewe ni cha kipumbavu!
CHEDEMA TANGU mwanzoni mwa miaka ya 1990.mpaka leo hata siyo katibu wa msingi,tawi wala kata?
Kadi namba hakuna?
Viongozi wako akinanani huko unakotoka?
Na mwaka huu mtaibishana mpk mkome, mara ACT mara Chadema, mnaandka paragraph 3 hamuelewek, mnatukanana ndo mnataka nchi nyie? Hata kuendesha Mkoa hamjafkia jamani! Kiongozi bora atatoka ccm, trust me.
Hatuta mumunya Maneno nanuku maneno ya Dr. Slaa nibora tubaki wachache wenye nia safi na chadema
Na mwaka huu mtaibishana mpk mkome, mara ACT mara Chadema, mnaandka paragraph 3 hamuelewek, mnatukanana ndo mnataka nchi nyie? Hata kuendesha Mkoa hamjafkia jamani! Kiongozi bora atatoka ccm, trust me.