Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
Nikweli mimi na Molemo tunaendana sana sana kwakua tunapinga watu ambao ni double standard kama nyie
Unaelewa maana ya Double standard?
Nikweli mimi na Molemo tunaendana sana sana kwakua tunapinga watu ambao ni double standard kama nyie
Na wewe upo kwenye hilo kundi nililotaja, nini??!!Hatuta mumunya Maneno nanuku maneno ya Dr. Slaa nibora tubaki wachache wenye nia safi na chadema
I doubt if s/he does!Unaelewa maana ya Double standard?
rosemarie hata usipate shida.JF sio platform ya CHADEMA.
Najua CHADEMA ina platform yake ya kutangaza na kujulisha jamii mambo yaihusuyo
Na platform hiyo sio JF
Na hapa JF kuna msemaji wa chama Kurugenzi ya Habari na Tumaini Makene
Sasa kuna watu wapuuzi kama Molemo hao wasikupe taabu....Ni wapuuzi wachache ambao tunao CHADEMA.
CHADEMA ni chama kikubwa inabidi pia tuvumilie kuwa na wapuuzi kama hawa
Nakubaliana na wewe na naukubali msimamo wako...Katika CHADEMA tufuate kanuni,sheria na Katiba ya chama...hivyo ndivyo vituunganishe.
Asante.
Forward Ever,Backward Never
Freeland wa JF!
Yanayoendelea hapa jukwaani ni aibu kwa chama changu,naijua JF ni special for Great thinkers where we dare to talk openly! Naongea mawazo yangu ndivyo ninavyojulikana kama chama kimefika level ya kutegemea wawakilishi wenye hoja dhaifu kama waliopo hapa JF then i have to think twice!
Msimamo wangu uheshimiwe na watu wote kwa sababu ni haki yangu kikatiba kuwa na msimamo kama huu!
Rosemary Kimaro!
[/FONT]
na wewe unawakilisha chama hapa jukwaani?hapani siyo chama changu unakurupuka sana
Mkuu nadhani kwenye hilo kundi la hao unaowaita wapuuzi waweza kuwemo na ww, huyo mwanadada hajaeleza tatizo lake ww umeshatoa hukumu kwa kusikia upande mmoja nadhan umeshindwa kuzongatia hiki Audi alteram partem (hear the other side)
Yaani wewe rosemarie kwa akili yako ndogo ya kiroboto unataka kulazimisha na wenye akili kubwa wafanane na wewe? kati ya Wanachama wa Chadema ambao ni hasara kwa chama (kama kweli ni mwanachama) basi ni wewe. Kwanza hujitambui na pili hutamnbui wajibu wako kwa chama chako.
Chama makini kama kilivyo Chadema hakiwezi kutegemea mtu mchovu kama wewe akisemee hapa JF hata siku moja. Hata familia yako yenyewe nina uhakika haiwezi kukuruhusu uwe msemaji wake.
rosemarie,
Ikiwa kweli unaipenda CHADEMA achana na hawa mamluki wa JF wanaojifanya kwamba wao ndo wana uchungu sana na chama kumbe wengi wao ni stress za maisha ndizo zinawasumbua! Hawa ni wale wanaotaka kila mtu aamini wao ndio wenye uchungu sana na nchi hii na ni wao peke yao ndio wenye uchungu na wanaofahamu nini maana ya mabadiliko! Hawa ni wale ambao hawataki hata siku moja wakisikia inaongelewa negative side ya chama utafikiri chama kinaongozwa na malaika!! Hao ni wale wa "ndio mzee" ili mradi jambo lenyewe limeongewa ama kufanywa na yule wanayeamuona ni wa maana! Hawa ni wale, usishangae, mtu na shahada yake lakini haoni taabu wala aibu kubeba mikoba ya wanasiasa! Hawa watashangilia kila kitu kinachotoka upande wao hata kama kitu chenyewe ni cha kipumbavu!
rosemarie,
Ikiwa kweli unaipenda CHADEMA achana na hawa mamluki wa JF wanaojifanya kwamba wao ndo wana uchungu sana na chama kumbe wengi wao ni stress za maisha ndizo zinawasumbua! Hawa ni wale wanaotaka kila mtu aamini wao ndio wenye uchungu sana na nchi hii na ni wao peke yao ndio wenye uchungu na wanaofahamu nini maana ya mabadiliko! Hawa ni wale ambao hawataki hata siku moja wakisikia inaongelewa negative side ya chama utafikiri chama kinaongozwa na malaika!! Hao ni wale wa "ndio mzee" ili mradi jambo lenyewe limeongewa ama kufanywa na yule wanayeamuona ni wa maana! Hawa ni wale, usishangae, mtu na shahada yake lakini haoni taabu wala aibu kubeba mikoba ya wanasiasa! Hawa watashangilia kila kitu kinachotoka upande wao hata kama kitu chenyewe ni cha kipumbavu!