respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,556
- 3,843
rosemarie
Hoja dhaifu unazodai kuwako hapa jukwaani ni zipi na zimetolewa na nani? Kwanza ni nani aliyekulazimisha kumfuata mtu badala ya chama. kama kweli ungekuwa unakisimamia na kukipigania chama ungeweka hapa hizo unazodaiwl ati niwl hoja dhaifu tuzichambue na tuone madhara yake kwa chama lakini ninachokiona hapa ni wewe kujaribu kulalamika bila msingi wowote.
Tambua Mungu kamuumba mwanadam kwa kila nafsi na tabia tofauti wote hatuwezi kuwa sawa hata kama wote ni Wananchadema..!! Kwahiyo kutofautiana na mwanachama mwingine wa Chadema kwa mtu mwenye Akili hawezi kukihusisha chama. Maana Chama ndicho kinachotuunganisha ktk Katiba yake na misimamo,Miongozo na Taratibu mbalimbali.
Ninachokiona hapa ni wewe kujaribu kutofautiana na Kamanda Molemo kwenyew uzi wake wa Mapokezi ya Dr Slaa kwenye msiba wa Komba kitu ambacho mimi binafsi sioniw tatizo na sijui wewe ulitaka aseme nini??
Molemo,Anampenda na kumwamini Dr Slaa kutoa sifa kile alichokiona kwenye mapokezi yale wewe kimekukwaza nini? Kusema kapokelewa kama Rais wa Marekani? Hizo ni Mbwembwe ambazo hata kama ningekuwa mimi ningeweza kuziandika tatizo ni nini? Ulitaka Dr Slaa asifiwe na kupambwa na nani kama si wananachama wake.?
Lb7 wamekuwa wakidai humu ndani kwamba umaarufu wa Slaa umeshuka na kujaribi kumshusha Dr kwa kila neno litokalo kinywani mwao, Wewe inaonekana huwa unavutiwa na madai yao, maana umechukia Molemo kumpamba Dr Slaa Ulitaka Lumumba wajew kumsifu Dr Slaa hapa ndani. (Nani mwenye ujasiri huo)
VUTA-NKUVUTE, amejaribu kuonyesha tu kwamba Kati ya wagombea wa upinzani wanaokubalika na kuogopwa na ccm ni Dr Slaa, umeona alichokipata? Lakini kama usipokisifia chako nani atakisifu?
Kama mwanachadema siwezi kisimama hadharani na kudaiw eti siku moja Chadema itatoweka kama ccm...!!!! Hata kama ninalipenda taifa langu kiasi gani? Ni kwasababu naamini Chini ya Chadema ndipo Taifa hili la Tanzania litapata thamani yake haliasi na si kama ilivyoleo tukidharauliwa na vinnchi kama Rwanda. Sasa kama nirakuqa naamini siku moja Chadema haitakuwapo maan yake hata lile Taifa ninloota/tamani kuwa litakuwapo chini yake HALITAKUWAPO TENA (Kwa madai yako haya umenifanya nifikirie mara mbili juu ya uanachama wako ndani ya Chadema) Wewe si mwanachama mtimilifu kifikra na kimaono, mean upoupo tu kufuata mkumbo kama nawe ni mwanachama wa moja wapo wa vyama vya siasa Tanzania..!!! (Fikiri mara mbili dada)
Ninayo mengi sana ya kuandika juu yaw haya madai yako lakini acha niishie hapa kwanza ili upate kuchanganua hiki nilichokuandikia and then karibu kwa Challenge...!!! Kamanda Freeland nadhani nikikuunganisha na huyuw dada kwa hiki nilichokiandika itakuwa vizuri tu maana naona amejaribu kukupotosha nawe unamuunga mkono.
Come on guys.....!!
BACK TANGANYIKA
Hoja dhaifu unazodai kuwako hapa jukwaani ni zipi na zimetolewa na nani? Kwanza ni nani aliyekulazimisha kumfuata mtu badala ya chama. kama kweli ungekuwa unakisimamia na kukipigania chama ungeweka hapa hizo unazodaiwl ati niwl hoja dhaifu tuzichambue na tuone madhara yake kwa chama lakini ninachokiona hapa ni wewe kujaribu kulalamika bila msingi wowote.
Tambua Mungu kamuumba mwanadam kwa kila nafsi na tabia tofauti wote hatuwezi kuwa sawa hata kama wote ni Wananchadema..!! Kwahiyo kutofautiana na mwanachama mwingine wa Chadema kwa mtu mwenye Akili hawezi kukihusisha chama. Maana Chama ndicho kinachotuunganisha ktk Katiba yake na misimamo,Miongozo na Taratibu mbalimbali.
Ninachokiona hapa ni wewe kujaribu kutofautiana na Kamanda Molemo kwenyew uzi wake wa Mapokezi ya Dr Slaa kwenye msiba wa Komba kitu ambacho mimi binafsi sioniw tatizo na sijui wewe ulitaka aseme nini??
Molemo,Anampenda na kumwamini Dr Slaa kutoa sifa kile alichokiona kwenye mapokezi yale wewe kimekukwaza nini? Kusema kapokelewa kama Rais wa Marekani? Hizo ni Mbwembwe ambazo hata kama ningekuwa mimi ningeweza kuziandika tatizo ni nini? Ulitaka Dr Slaa asifiwe na kupambwa na nani kama si wananachama wake.?
Lb7 wamekuwa wakidai humu ndani kwamba umaarufu wa Slaa umeshuka na kujaribi kumshusha Dr kwa kila neno litokalo kinywani mwao, Wewe inaonekana huwa unavutiwa na madai yao, maana umechukia Molemo kumpamba Dr Slaa Ulitaka Lumumba wajew kumsifu Dr Slaa hapa ndani. (Nani mwenye ujasiri huo)
VUTA-NKUVUTE, amejaribu kuonyesha tu kwamba Kati ya wagombea wa upinzani wanaokubalika na kuogopwa na ccm ni Dr Slaa, umeona alichokipata? Lakini kama usipokisifia chako nani atakisifu?
Kama mwanachadema siwezi kisimama hadharani na kudaiw eti siku moja Chadema itatoweka kama ccm...!!!! Hata kama ninalipenda taifa langu kiasi gani? Ni kwasababu naamini Chini ya Chadema ndipo Taifa hili la Tanzania litapata thamani yake haliasi na si kama ilivyoleo tukidharauliwa na vinnchi kama Rwanda. Sasa kama nirakuqa naamini siku moja Chadema haitakuwapo maan yake hata lile Taifa ninloota/tamani kuwa litakuwapo chini yake HALITAKUWAPO TENA (Kwa madai yako haya umenifanya nifikirie mara mbili juu ya uanachama wako ndani ya Chadema) Wewe si mwanachama mtimilifu kifikra na kimaono, mean upoupo tu kufuata mkumbo kama nawe ni mwanachama wa moja wapo wa vyama vya siasa Tanzania..!!! (Fikiri mara mbili dada)
Ninayo mengi sana ya kuandika juu yaw haya madai yako lakini acha niishie hapa kwanza ili upate kuchanganua hiki nilichokuandikia and then karibu kwa Challenge...!!! Kamanda Freeland nadhani nikikuunganisha na huyuw dada kwa hiki nilichokiandika itakuwa vizuri tu maana naona amejaribu kukupotosha nawe unamuunga mkono.
Come on guys.....!!
BACK TANGANYIKA
Last edited by a moderator: