Msimamo wangu ndani ya Chama

Msimamo wangu ndani ya Chama

Kwa taarifa yako ndani ya chadema kuna watu wanaweza sifiwa na watu wengine siyo wewe ambaye unacho jua ni matusi tuu we na genge lako wakina Mungi na Crashwise..! Hivi umuoni mwenzio Ben saanane anavyo jibu hoja za watu? umesha wai kumuona ana tukana watu humu?

Kwa post kama hii ukiitwa mpumbavu utasema ni tusi, unashindwa kutofautisha tusi na sifa uliyonayo. Hata hivyo naungana na Molemo kuwa siku ukisikia mapumbavu ccm yanamsifu kamanda anayepigania haki na demokrasia, ambayo maccm yameikandamiza basi atakuwa ameungana nao, anatakiwa afukuzwe!!
 
Last edited by a moderator:
Nenda ACT rosemarie, unafaa kuwa kwao maana upumbavu kama huu unaabudiwa, mtu mwenye ndimi mbili kama zako anaweza kuukwaa uongozi. Tambua, ukienda ACT utakuwa umemtukuza kinana
 
Last edited by a moderator:
Kwa post kama hii ukiitwa mpumbavu utasema ni tusi, unashindwa kutofautisha tusi na sifa uliyonayo. Hata hivyo naungana na Molemo kuwa siku ukisikia mapumbavu ccm yanamsifu kamanda anayepigania haki na demokrasia, ambayo maccm yameikandamiza basi atakuwa ameungana nao, anatakiwa afukuzwe!!

Na mwenye kuelewa aelewe. Maana CHADEMA haihujumiki. Na yeyote atakayeleta usaliti kwenye chama atashughulikiwa accordingly
 
Last edited by a moderator:
Haya sasa mtanyongana mwaka huu. Kudadadadekiii
 
Jamani mimi nimesoma huu uzi na mtoa uzi amesisitiza sana kuwa mchangiaji awe competence katika ujengaji wa hoja wakati akichangia. Lakini mimi nimeona yeye mwenyewe uwezo huo hana, kwasababu hoja yake ya msingi sijaiona na hata namna alivyoijenga inaonesha kabisa thinking capacity yake ni ya namna gani. Sijui wenzangu kama umeona hoja yake. Labda mtoa uzi ungeuhariri alafu uijenge upya hoja yako ya msingi vinginevyo mimi ninaona bado hujaeleweka.
 
hahaha rosemary kimaro am not here to criticise people but i must confess that umezungmza mengi ila i dont see the pivot comrade.if i may ask what is ur stutus kwenye chama..........umezungmzia msmamo wako kuheshmika na watu wote kwa sbb ni haki yako yakikatiba ila nataka ukumbuke katiba inaconfir rights alaf inakunyanganya vile vile there fore kuheshim matamshi ya mtu yenye loopholes au lacuna ni kama usaliti na kutokufkiria nje ya box.
 
Kutokana na kutokuelewana na hoja dhaifu zinazoendelea hapa jukwaani naona ni vema niweke msimamo wangu wazi ili niweze kueleweka.

Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA,nimejiunga na chama tangu miaka ya 90 mwanzoni,sisi ndiyo wanachama wa mwanzoni kabisa wa
CHADEMA kanda ya kaskazini na nilishiriki kuhamasisha Watanzania wenzangu kujiunga na chama miaka hiyo.

Mimi nikiwa kama mwanachama wa
CHADEMA nina haki ya kuhoji,kukubali,kukataa,kurekebisha,kubisha,kuunga mkono na kadhalika,hakuna kiongozi au mwanachama yeyote wa CHADEMA mwenye uwezo wa kubadilisha msimamo wangu,ninafata katiba ya chama na kamwe simfati mtu.

naamini siku moja
CHADEMA haitakuwepo tena na CCM haitakuwepo lakini taifa langu litakuwepo msimamo wangu nasimama na Taifa kama mimi na kulitendea haki.

CHADEMA ni banadamu tu kama CCM na inawezekana kabisa tukichukua madaraka tukafanya vibaya kuliko hata ccm kwa sababu wote tumelelewa na mfumo ule ule mawazo yaleyale huo ndiyo msimamo wangu na lazima uheshimiwe na kama hutaki kuheshimu msimamo wangu njoo na hoja na siyo kukurupuka,ukiwa mtu wa level ya chini na huna utayari wa kubadilika utabaki level ile ile miaka nenda rudi.

Yanayoendelea hapa jukwaani ni aibu kwa chama changu,naijua JF ni special for Great thinkers where we dare to talk openly! Naongea mawazo yangu ndivyo ninavyojulikana kama chama kimefika level ya kutegemea wawakilishi wenye hoja dhaifu kama waliopo hapa JF then i have to think twice!

Msimamo wangu uheshimiwe na watu wote kwa sababu ni haki yangu kikatiba kuwa na msimamo kama huu!

Rosemary Kimaro!


unakarbishwa ACT but sie hatuamin katika ukanda........... VUA GAMBA&GWANDA VAA UZALENDO
 
Kutokana na kutokuelewana na hoja dhaifu zinazoendelea hapa jukwaani naona ni vema niweke msimamo wangu wazi ili niweze kueleweka.

Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA,nimejiunga na chama tangu miaka ya 90 mwanzoni,sisi ndiyo wanachama wa mwanzoni kabisa wa
CHADEMA kanda ya kaskazini na nilishiriki kuhamasisha Watanzania wenzangu kujiunga na chama miaka hiyo.

Mimi nikiwa kama mwanachama wa
CHADEMA nina haki ya kuhoji,kukubali,kukataa,kurekebisha,kubisha,kuunga mkono na kadhalika,hakuna kiongozi au mwanachama yeyote wa CHADEMA mwenye uwezo wa kubadilisha msimamo wangu,ninafata katiba ya chama na kamwe simfati mtu.

naamini siku moja
CHADEMA haitakuwepo tena na CCM haitakuwepo lakini taifa langu litakuwepo msimamo wangu nasimama na Taifa kama mimi na kulitendea haki.

CHADEMA ni banadamu tu kama CCM na inawezekana kabisa tukichukua madaraka tukafanya vibaya kuliko hata ccm kwa sababu wote tumelelewa na mfumo ule ule mawazo yaleyale huo ndiyo msimamo wangu na lazima uheshimiwe na kama hutaki kuheshimu msimamo wangu njoo na hoja na siyo kukurupuka,ukiwa mtu wa level ya chini na huna utayari wa kubadilika utabaki level ile ile miaka nenda rudi.

Yanayoendelea hapa jukwaani ni aibu kwa chama changu,naijua JF ni special for Great thinkers where we dare to talk openly! Naongea mawazo yangu ndivyo ninavyojulikana kama chama kimefika level ya kutegemea wawakilishi wenye hoja dhaifu kama waliopo hapa JF then i have to think twice!

Msimamo wangu uheshimiwe na watu wote kwa sababu ni haki yangu kikatiba kuwa na msimamo kama huu!

Rosemary Kimaro!

Dada Rosemary naheshimu sana msimamo wako ila sijaelewa unasimamia wapi mean cjaelewa hoja unayoisimamia nakusubiria hapa tuupate huo msimamo wako
 
Ndio yale yale ya Zitto kujiunga na chama akiwa na miaka 16!
 
Mmmmh, mwanachama wa mwanzo ya miaka ya 90?

Bila shaka kasi na upepo wa hivi sasa huwezi shindana nazo. Ni lazima akili itakuwa imechoka tu.

Pole sana Dada yangu RosenaMarry. Ng'atuka tuu kaa pembeni uachane na siasa na uwe mshauri tu.
 
Umepga introduction na conclusion, where is the main body?u got 3/20 main body umeruka hii essay ni kwikwi.
 
Back
Top Bottom