Msikilizeni Waziri mwenye Dhamana

Msikilizeni Waziri mwenye Dhamana

Mama unachokihubiri na unachokiishi ni vitu viwili tofauti wewe kama Waziri mwenye dhamana ya maendeleo ya jamii umechukua hatua gani :

Kabla ya kutuhubiria

Neno hilo lingeanza kukusaidia wewe Kuona vitu vinavyoharibu jamii....
Mfano
-Kuna matangazo ya pombe
-Betting
-Michezo ya bahati nasibu

Haya yote yanafanyika kiholela sana. Kuna vitu vinapandikizwa kwa jamii hasa watoto wetu mapema sana na ndio chanzo kikubwa cha mmomonyoko wa maadili kwenye jamii, Uvivu na kudumaza fikra za vijana wengi kutoona fursa.

Mmomonyoko wa maadili hauji ghafla kama chafya,, ni vitu Hivi ambavyo mnapuuza.

Mama haya ulipaswa kuyasimamia hata kwa gharama ya kujiudhuru kama ungekosa ushirikiano.
Vinginevyo , mtakuja kuulizwa maswali magumu sana kwa Mungu kwa nafasi za uongozi mlizopata hapa duniani.

"Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure." Kutoka 20:7
Aaah Kumbe Kuhubiri ni kipaji cha familia,Si kanisa la Shemeji limefungiwa😂😂.

Mungu ana njia nyingi sana kupitisha ujumbe
 
Kwahiyo kuwa waziri ushajipa mamlaka ya kuhukumu wa mbinguni na wa kuzimu sio?😜
Sijajipa ila wewe unajaribu kunipa, sijui umetoa wapi mamlaka ya kujaribu jaribu mambo mazito mazito. Ngoja kwanza nicheck inn nisiachwe na safari sababu ya stori zako za hapa na pale
 
Madam naomba nilale kesho napanda daladala wewe V8 linakufuata.

Ole wako nitekwe,
 
Imekuwa nzuri tena? 🙆, si tumesema kazi iendelee
Ushaanza majigambo si umesema una cheki in madam,

Alafu Saivi ni Kazi na Utu Sio kazi iendelee,

Angalia PM nimekutumia Ilani ya chama😂😂

Ila leo,nimekuokota sana
 
Ushaanza majigambo si umesema una cheki in madam,

Alafu Saivi ni Kazi na Utu Sio kazi iendelee,

Angalia PM nimekutumia Ilani ya chama😂😂

Ila leo,nimekuokota sana
Majigambo ya nini sasa mimi na huwa sipendi mambo ya ziada ziada.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom