The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 8,217
- 16,089
Leo kazi unayo, niko kigoma hakuna huku unachokijua kilichokaribu😂Tena unaweza kupitia na ruaha iringa kama tengeru itakuwa hawajakusaidia. Pia rungemba wanaweza kuwa wa msaada zaidi.
Leo kazi unayo, niko kigoma hakuna huku unachokijua kilichokaribu😂Tena unaweza kupitia na ruaha iringa kama tengeru itakuwa hawajakusaidia. Pia rungemba wanaweza kuwa wa msaada zaidi.
Mwanadamu mwenye mwili atajuaje sasa kila kitu dunianiLeo kazi unayo, niko kigoma hakuna huku unachokijua kilichokaribu😂
Aaah Kumbe Kuhubiri ni kipaji cha familia,Si kanisa la Shemeji limefungiwa😂😂.Mama unachokihubiri na unachokiishi ni vitu viwili tofauti wewe kama Waziri mwenye dhamana ya maendeleo ya jamii umechukua hatua gani :
Kabla ya kutuhubiria
Neno hilo lingeanza kukusaidia wewe Kuona vitu vinavyoharibu jamii....
Mfano
-Kuna matangazo ya pombe
-Betting
-Michezo ya bahati nasibu
Haya yote yanafanyika kiholela sana. Kuna vitu vinapandikizwa kwa jamii hasa watoto wetu mapema sana na ndio chanzo kikubwa cha mmomonyoko wa maadili kwenye jamii, Uvivu na kudumaza fikra za vijana wengi kutoona fursa.
Mmomonyoko wa maadili hauji ghafla kama chafya,, ni vitu Hivi ambavyo mnapuuza.
Mama haya ulipaswa kuyasimamia hata kwa gharama ya kujiudhuru kama ungekosa ushirikiano.
Vinginevyo , mtakuja kuulizwa maswali magumu sana kwa Mungu kwa nafasi za uongozi mlizopata hapa duniani.
"Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure." Kutoka 20:7
Ila ya Mbinguni una yajua,Ya duniani aaah, vyuo tu hivi ukakimbiaMwanadamu mwenye mwili atajuaje sasa kila kitu duniani
Nikiyajua mimi ya mbinguni kwa vyovyote vile wewe lazima utakuwa unayajua ya kule wanaita kuzimu😅Ila ya Mbinguni una yajua,Ya duniani aaah, vyuo tu hivi ukakimbia
Kwahiyo kuwa waziri ushajipa mamlaka ya kuhukumu wa mbinguni na wa kuzimu sio?😜Nikiyajua mimi ya mbinguni kwa vyovyote vile wewe lazima utakuwa unayajua ya kule wanaita kuzimu😅
Hapana tafadhali siyo cha familia,Aaah Kumbe Kuhubiri ni kipaji cha familia,Si kanisa la Shemeji limefungiwa😂😂.
Mungu ana njia nyingi sana kupitisha ujumbe
Kwani wewe si Gwajima wewe au ni jina la mumeo?Hapana tafadhali siyo cha familia,
Sijajipa ila wewe unajaribu kunipa, sijui umetoa wapi mamlaka ya kujaribu jaribu mambo mazito mazito. Ngoja kwanza nicheck inn nisiachwe na safari sababu ya stori zako za hapa na paleKwahiyo kuwa waziri ushajipa mamlaka ya kuhukumu wa mbinguni na wa kuzimu sio?😜
Kwa hiyo jina hili lina hati miliki? Si hata wewe unaweza kuwa tuKwani wewe si Gwajima wewe au ni jina la mumeo?
Sijajipa ila wewe unajaribu kunipa, sijui umetoa wapi mamlaka ya kujaribu jaribu mambo mazito mazito. Ngoja kwanza nicheck inn nisiachwe na safari sababu ya stori zako za hapa na pale
Kesha tu ukiomba karibu parapanda linalia tunaenda kumlaki Bwana mawinguniMadam naomba nilale kesho napanda daladala wewe V8 linakufuata.
Ole wako nitekwe,
Usiku mwema Madam,Kwa hiyo jina hili lina hati miliki? Si hata wewe unaweza kuwa tu
Imekuwa nzuri tena? 🙆, si tumesema kazi iendeleeKazi nzuri Madam,Mungu akulinde.
HahahaJiunge na chama cha wanaume wakupe mawaidha
Ushaanza majigambo si umesema una cheki in madam,Imekuwa nzuri tena? 🙆, si tumesema kazi iendelee
Majigambo ya nini sasa mimi na huwa sipendi mambo ya ziada ziada.....Ushaanza majigambo si umesema una cheki in madam,
Alafu Saivi ni Kazi na Utu Sio kazi iendelee,
Angalia PM nimekutumia Ilani ya chama😂😂
Ila leo,nimekuokota sana
Ushachek in,unatokea wapi kwanza?Majigambo ya nini sasa mimi na huwa sipendi mambo ya ziada ziada.....
Halafu ukijua?Ushachek in,unatokea wapi kwanza?