Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,610
- 59,577
Hahaha nimecheka sana Mheshimiwa mpe spana kijana akuelewe angalau maana unamuelewesha hakuelewiKidogo tu za kiaina
Hahaha nimecheka sana Mheshimiwa mpe spana kijana akuelewe angalau maana unamuelewesha hakuelewiKidogo tu za kiaina
Kama hujamwita mwambie asiingilie hii maada,Mimi mwenyewe filidimasho, kikosi cha nini sasa, wewe pambana nao tu kivyako
Hahaha leo navunjwa mbavu hukuMimi mwenyewe filidimasho, kikosi cha nini sasa, wewe pambana nao tu kivyako
🤣🤣🤣🙌Ungenipa cheti chako cha kusomea uwaziri wa ustawi wa jamii kwanza ingependeza zaidi 😜
Kwani umeniteua lini kuwa Balozi wako au njiwa peleka salamu? Aku, mwambie mwenyewe usiniongezee kazi bila utaratibuKama hujamwita mwambie asiingilie hii maada,
Alafu nikuulize wapi nimekutukana au nimekuvunjia heshima?
Na wewe kilichokushinda Afya ni mipasho,Kwani umeniteua lini kuwa Balozi wako au njiwa peleka salamu? Aku, mwambie mwenyewe usiniongezee kazi bila utaratibu
Labda unakosea kanuni za wanaume, consult kwenye chama chenuDr: Dorothy Gwajima nasisi tuliopo kwenye ndoa tunanyanyasika sana, hasa wakati tunaitaji tendo la ndoa kwa wenza wetu inakuwa ngumu kupewa... mnamaliza hata miezi saba hamjakutana ukiomba unajibiwa nimechoka,sijisikii,nipo vibaya tunanyanyasika kweli.
Unajibiwa kulingana na ulivyounda swali🤗Na wewe kilichokushinda Afya ni mipasho,
Ila unaiweza Madam,Uliwachamba mpaka wakakaa sawa😂😂
😂😂 nilikuambia Lete cheti chako cha jamii Ukalala mbeleLabda unakosea kanuni za wanaume, consult kwenye chama chenu
Sawa Nijibu wewe ni Waziri wa Jamii ipi,wanaotekwa ni jamii ipi na wanaobakwa ni jamii ipi?Unajibiwa kulingana na ulivyounda swali🤗
Hakuna kiongozi wa mtume aliyemaliza kila changamoto duniani. Mtume Yesu naye aliishi miaka yake akaondoka bado kijana hakumaliza changamoto na bado kuna waliomkataa alipokuwa akifanya kazi yake, ajabu hao hao wakamkubali baada ya kumaliza kazi na kuondoka.
Aidha, hata wizara kongwe na kubwa za miaka mingi bado hazijawahi kumaliza changamoto na zinaibuka mpya kila leo, itakuwa wizara ya maendeleo ya jamii yenye umri wa miaka 3 na miezi 6.
Tulichofanya tumefanya, ya kuanzisha tumeanzisha, yaliyobakia yataendelezwa kwa kuwa, kazi ya ujenzi wa Taifa haijaisha. Na katika mafanikio hayo yaliyopatikana mfano hapa kwenye bango chini👇, hatuna budi kumshukuru Mungu na kwa shukrani hizo kwa imani yangu mimi, naimba🤗🥰 na wewe ikikupendeza shukuru kwa imani yako na isipokupendeza basi, potezea.
Hii ni kwa kifupi tafadhali....
Mungu alishanisaidia mwenzako ndiyo maana namshukuru kwa nyimbo za sifa 🤗😂😂 nilikuambia Lete cheti chako cha jamii Ukalala mbele
Mungu akusaidie
Nyimbo gani?Mungu alishanisaidia mwenzako ndiyo maana namshukuru kwa nyimbo za sifa 🤗
Ukienda pale chuo cha maendeleo ya jamii Tengeru, utapata tafsiri ya jamii na aina zake mbalimbali tafadhali. Fika tafadhali, kiko pale Arusha mjini kabisaSawa Nijibu wewe ni Waziri wa Jamii ipi,wanaotekwa ni jamii ipi na wanaobakwa ni jamii ipi?
Ahsante sana kwa upendo na ushirikiano, ubarikiweDkt. Gwajima D mama shkamoo,
binafsi acha niseme NAKUPENDA... nabarikiwa sana na kuish kwako.
Sasa kama swali hili linakushinda itakuwaje Madam,Bora usingejibu,Ukienda pale chuo cha maendeleo ya jamii tengeru, utapata tafsiri ya jamii na aina zake mbalimbali tafadhali. Fika tafadhali, kiko pale Arusha mjini kabisa
Tena unaweza kupitia na ruaha iringa kama tengeru itakuwa hawajakusaidia. Pia rungemba wanaweza kuwa wa msaada zaidi.Sasa kama swali hili linakushinda itakuwaje Madam,Bora usingejibu,
Umenipeleka CBE nikakuambia nimemaliza ukakimbia,Basi saiv unanipeleka Tengeru😂😂
Uko Sawa wewe kweli?
sawa ngoja nipambane.Labda unakosea kanuni za wanaume, consult kwenye chama chenu