kingxvi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 879
- 150
nimekua nikiona na kusoma mawazo ya watu mbalimbali eti oh nchi inafukuta si mda mrefu watu wanaweza ingia barabarani kama nchi za waarabu
kiukweli mapinduzi tanzania ni ndoto kama mnashindwa tu kumtoa NGEREJA na HUSSEIN MWINYI madarakani kwa uzembe wa hadharani leo hi serikali? Hamna majasili wa ivyo hapa tz
kiukweli mapinduzi tanzania ni ndoto kama mnashindwa tu kumtoa NGEREJA na HUSSEIN MWINYI madarakani kwa uzembe wa hadharani leo hi serikali? Hamna majasili wa ivyo hapa tz