Msigwa afunika Iringa Mjini

Msigwa afunika Iringa Mjini

Hivi mliona uchaguzi serikali za mitaa alivyo wagalagaza hadi aibu
 
Jimbo lishaondoka hilo, hakuna alichokifanya cha maana kwa muda wa miaka mitano, yeye aendelee na kazi yake ya zamani ya kulisha Kondoo wa BWANA, hiyo ndio inamfaa!

Nasikia na madiwani wa mkoa wa iringa wote wa ccm wanahamia cdm
 
Hivi kwa 'nyomi' yote hiyo aliyoipata Mchungaji Msigwa, bado Sisiemu wanaota ndoto za mchana na kujifariji eti wataligomboa jimbo hilo la Iringa mjini.

Ccm ni sikio la kufa halisikii dawa
 
Mashule alirekebisha mengi, Barabara za ndani na pia alitatua kero za maji katika baadhi ya maeneo kwa kiasi kikubwa.
2010 alishinda kwa tofauti ya kura 1000+
2015 anashinda kwa tofauti ya kura 27000+
PSM HANA MPIZANI IRINGA MJINI.

Tunamtakia kila la kheri mchungaji msigwa
 
Pamoja wakuu katika mabadiliko.Watu wa Iringa mpeni tena mheshimiwa Mchungaji Msigwa miaka mitano ili aweze kuwatumikia tena

Tunawaombea kila la kheri
 
hatuwezi kukaa kimya katika hili moja kati ya mambo ambayo tulifanya kwa usahihi mkubwa kabisa ni hili la kumchagua Msigwa na kwa sauti KUBWA KABISA TUNASEMA 2015 MSIGWA TENAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Angalizo: Chris Lukosi naona amekuja rasmi kutibua mambo, sijamuona siku nyingi humu sijui alibadili ID? Akimsikia Msigwa anatamani kharisha
 
Kama alifanya mema hakuwa na haja ya kuitisha mkutano tena wa kusema alichokifanya, kwani kingeonekana!
Alichofanya kiko wazi ila si mbaguzi,kwani kuna vipofu kama wewe mliojaa ukurutu ndo anataka kuwahabarisha maana hata punda wameona na kuzungumza lakini kwa vile mmeweka pumba na pamba masikioni hamtaki kusikia wala kuona.
 
Hongera Msigwa,Makufuli akija hapo apige hodi kwanza.!
 
Wana Iringa badala ya kufanya kazi wanaenda kumshangaa Msigwa.. Ningekuwepo hapo ningewatandika viboko waache uvivu
Ha ha siasa bana... na wale wa geita na chato walioenda kumshangaa magufuli si ungewalamba mijeledi kabisa...
 
Back
Top Bottom