Msigwa afunika Iringa Mjini

Msigwa afunika Iringa Mjini

Kama alifanya mema hakuwa na haja ya kuitisha mkutano tena wa kusema alichokifanya, kwani kingeonekana!
Utasema tu. kwa hiyo na mwl mkuu wa shule hana haja ya report matokeo yakitoka? this is bullshit!
 
I love this town from the very bottom of my heart, I will be there soon.

IRINGA THE STONE TOWN
 
msigwa anatutosha sana iringa hatuji kupata jembe kama yeye. mi sin chama chochote ila Msigwa nampenda nitamuombea kwa mungu asiugue akiugua asife.
 
Ccm wakiona hivyo kinawauma sana

Na mtu ukiwa chadema raha sana kwenye maisha yako

Huji kujuta kupoteza muda wako

Tunawakalibisha watu wote mlio potelea ccm njooni chadema kwenye chama kilicho barikiwa na mungu

Mungu anasema njooni nyote msumbukao na mizigo

Nami nitawapumnzisha.
 
huyu jamaa naye huwa haeleweki kila sehemu anataka kugombea na kuongoza...chama wa wasanii yupo...wasanii wa injili yupo...chama cha wanasheria huwa anagombea lakini huwa anakosa...anapenda sana kuongoza lakini nafikiri hana bahati na uongozi..........

Akishinda this time itabidi uje ufute hii post yako hapa.
Tehe tehe tehe....
Unaandika lakini...?????????!!
 
Huu umati wa wananchi hata Kinana hajawahi kupata kwenye mikutano yake pamoja na kusomba watu na malori #CHADEMA inakubalika
 
itajulikana tu october!!! maaana kelele ni nyingi na hatuwezi kulalamika kwa kua ndo demokrasia.
 
.....Nakumbuka Iringa Mjini mlianza kuwaadhibu CCM kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa. kwa picha hii, Udiwani na Ubunge Iringa mjini CCM watalia sana mwaka huu. Vipi hali kwa Lukuvi?
 
.....Nakumbuka Iringa Mjini mlianza kuwaadhibu CCM kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa. kwa picha hii, Udiwani na Ubunge Iringa mjini CCM watalia sana mwaka huu. Vipi hali kwa Lukuvi?

Lukuvi kabanwa na sosopi hata hapumui
 
Jimbo lishaondoka hilo, hakuna alichokifanya cha maana kwa muda wa miaka mitano, yeye aendelee na kazi yake ya zamani ya kulisha Kondoo wa BWANA, hiyo ndio inamfaa!

We mzee msalani Umebaki peupe kama KICHWACHAKO KILIVO CHEUPE,Matunda ya mti unadondoka karibu na mtiwake,hunajipya.
 
Mbona habari nyingi sana kwenye mitandao ni ukawa kuliko ccm?
 
Back
Top Bottom